chipaka.com
JF-Expert Member
- Dec 5, 2015
- 2,883
- 1,189
Pole yake raila hiyo nchi ilisha,ondolewa kwenye makucha ya wazungu,Raisi Uhuru Kenya, muda wako wa kutawala nchi ya Kenya umeshawadia na kuanzia kesho anza kujitayarisha kumkabidhi Mfalme wa Jaluo Raila Odinga nchi, na haijalishi matokeo ya kura yatakuwaje, Muzungu ameamua kuwa Raila Odinga ndo Raisi ajaye wa Kenya, na haitajalisha kama utashinda kwa kura (ambapo binafsi naamini utashinda) au la, mimi mchango wangu kama Raila akija kujiapisha hapa Dar nitamfurumusha, kwa namna moja au nyingine yaani nitapaza sauti yangu hata kama haitasikika!
Poleni Wakenya, ...
Kama ambavyo damu ya Khadhafi haikuwaacha Hilary Clinton,Sarkozy na Cameron salama.Damu ya Musando hatamwacha mtu salama! Amina!!
Trust me I have just gone through @realdonaldtrump's twitter account and it's not there. This is fake news
Mimi nimeacha uwanja wazi ili wadau mjimwage, sijaegemea kwa Uhuru wala kwa Agwambo.Hapana, umeegemea tu upande mmoja kwenye huu uandishi wako.
Raila na chama chake pia ni mkusanyiko wa makabila kadhaa kama tu ya Uhuru ambayo pia ni mkusanyiko ya makabila kadhaa zaidi ya wakikuyu na wakalenjin.
Isitoshe, wote wamezidi kuwarai wapiga kura kutoka kila eneo mwa Kenya, hata kwenye yale maeneo ambapo kuna dhana haungwi mkono, mfano Raila amefanya kampeni kwwnye maeneo ya Uhuru na Uhuru kwenye maeneo ya Raila.
Kwahivo ndugu, ungejaribu kuwa balanced tu katika analysis yako badala ya kusemekana kuegemea upande moja katika uzi huu umeweka spesheli ati ni ya kuhusu uchaguzi mkuu wa Kenya.
Hii thread basi haifai kabisa.
Barbarosa. Kubali tu wewe huwezi elewa siasa za Kenya kama vile Wakenya wanaielewa. This time hakuna rigging. I repeat again HAKUNA RIGGING. kwa hivyo serikali haiwezi iba kura. Kama Uhuru atashinda atashinda clean. Kama Raila atashinda atashinda clean. Hakuna anayejua mshindi ata Mimi mwenyewe sijui.Raisi Uhuru Kenya, muda wako wa kutawala nchi ya Kenya umeshawadia na kuanzia kesho anza kujitayarisha kumkabidhi Mfalme wa Jaluo Raila Odinga nchi, na haijalishi matokeo ya kura yatakuwaje, Muzungu ameamua kuwa Raila Odinga ndo Raisi ajaye wa Kenya, na haitajalisha kama utashinda kwa kura (ambapo binafsi naamini utashinda) au la, mimi mchango wangu kama Raila akija kujiapisha hapa Dar nitamfurumusha, kwa namna moja au nyingine yaani nitapaza sauti yangu hata kama haitasikika!
Poleni Wakenya, ...
Barbarosa. Kubali tu wewe huwezi elewa siasa za Kenya kama vile Wakenya wanaielewa. This time hakuna rigging. I repeat again HAKUNA RIGGING. kwa hivyo serikali haiwezi iba kura. Kama Uhuru atashinda atashinda clean. Kama Raila atashinda atashinda clean. Hakuna anayejua mshindi ata Mimi mwenyewe sijui.
Ati ujaegemea upande wowote? Hebu soma ulichoandika hapo kuhusu hawa watu wawili, na ukome mzaha.Mimi nimeacha uwanja wazi ili wadau mjimwage, sijaegemea kwa Uhuru wala kwa Agwambo.
Sure..Trust me I have just gone through @realdonaldtrump's twitter account and it's not there. This is fake news
Photoshop hiyo. Odinga akachunge mbuzi tu.Trust me I have just gone through @realdonaldtrump's twitter account and it's not there. This is fake news
Kweli miafrika ndivyo tulivyo, wewe uko kwenu uko kibiti umefichama kukimbia polisi halafu unapost ati asubui tu laila kashindwa ujue wakenya wanakuona na kukulaaniWakenya Hawamhitaji Huyo Kibaraka Wa Wazungu Raila.Mapema Mno Kenyata Anashnda Asubuhi Kabla Ya Saa4 Asubuh
Na Uhuru akishindwa anaeza kubali? Nyinyi Watanzania mko afadhali kwani rais aliye mamlakani akishindwa basi anatoka na kwenda zake. Uhuru akishinda ni sawa lakini akishindwa wafuasi wake sioni wakikubali. Wafuasi wa Jubilee ni fanatics kama wa Nasa. Wewe huwajuiNi kweli labda kutakuwa hakuma rigging lkn matokeo pekee ambayo Raila Odinga atayakubali ni yale ambayo yatamtanganza mshindi kinyume na hapo hawezi kukubali!
maslahi hapa ni ushindi kwa Nasa au Jubilee so wote wangefanya kwa maslahi mapana ya kuikamata dola...Kwa jinsi hali ilivyo Jubilee ndio waliomuua Musonda kwa masilahi yao binafsi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Na Uhuru akishindwa anaeza kubali? Nyinyi Watanzania mko afadhali kwani rais aliye mamlakani akishindwa basi anatoka na kwenda zake. Uhuru akishinda ni sawa lakini akishindwa wafuasi wake sioni wakikubali. Wafuasi wa Jubilee ni fanatics kama wa Nasa. Wewe huwajui
Ndio nakubaliana nawe hakuna trust. Shida ya Kenya ni Kabila mbili wakikuyu na wajaluo. Sitasema zaidi ya hapo. Ningekufunza mengi kuhusu siasa ya Kenya lakini hii ni social media..si mahali pazuri sana kuongea kuhusu mambo mengine.Na hpo ndipo shida kubwa ilipo, TRUST, hakuna trust sasa itakuwaje? Ni kama vile uwe na girlfriend ambaye haumuamini, unawezaje kuishi naye kwa amani?
Rigging huwezi kuwa na uhakika haitokuwepo sababu Musando ameuliwa wauaji hawajapatikana na haujui wamechukua nini toka kwake, therefore usiandike as if una uhakika asilimia miaBarbarosa. Kubali tu wewe huwezi elewa siasa za Kenya kama vile Wakenya wanaielewa. This time hakuna rigging. I repeat again HAKUNA RIGGING. kwa hivyo serikali haiwezi iba kura. Kama Uhuru atashinda atashinda clean. Kama Raila atashinda atashinda clean. Hakuna anayejua mshindi ata Mimi mwenyewe sijui.
Wewe ongea bhana, kwani shida iko niniNdio nakubaliana nawe hakuna trust. Shida ya Kenya ni Kabila mbili wakikuyu na wajaluo. Sitasema zaidi ya hapo. Ningekufunza mengi kuhusu siasa ya Kenya lakini hii ni social media..si mahali pazuri sana kuongea kuhusu mambo mengine.