Uzi maalumu: Uchaguzi mkuu wa Kenya mwaka 2017

Uzi maalumu: Uchaguzi mkuu wa Kenya mwaka 2017

Raisi Uhuru Kenya, muda wako wa kutawala nchi ya Kenya umeshawadia na kuanzia kesho anza kujitayarisha kumkabidhi Mfalme wa Jaluo Raila Odinga nchi, na haijalishi matokeo ya kura yatakuwaje, Muzungu ameamua kuwa Raila Odinga ndo Raisi ajaye wa Kenya, na haitajalisha kama utashinda kwa kura (ambapo binafsi naamini utashinda) au la, mimi mchango wangu kama Raila akija kujiapisha hapa Dar nitamfurumusha, kwa namna moja au nyingine yaani nitapaza sauti yangu hata kama haitasikika!

Poleni Wakenya, ...

unnamed%2B%2814%29.jpg
Pole yake raila hiyo nchi ilisha,ondolewa kwenye makucha ya wazungu,

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Uhuru kabanwa sana,sasa hivi anaongea na taifa eti.Anapiga campeni kijanja.
 
Hapana, umeegemea tu upande mmoja kwenye huu uandishi wako.

Raila na chama chake pia ni mkusanyiko wa makabila kadhaa kama tu ya Uhuru ambayo pia ni mkusanyiko ya makabila kadhaa zaidi ya wakikuyu na wakalenjin.

Isitoshe, wote wamezidi kuwarai wapiga kura kutoka kila eneo mwa Kenya, hata kwenye yale maeneo ambapo kuna dhana haungwi mkono, mfano Raila amefanya kampeni kwwnye maeneo ya Uhuru na Uhuru kwenye maeneo ya Raila.

Kwahivo ndugu, ungejaribu kuwa balanced tu katika analysis yako badala ya kusemekana kuegemea upande moja katika uzi huu umeweka spesheli ati ni ya kuhusu uchaguzi mkuu wa Kenya.

Hii thread basi haifai kabisa.
Mimi nimeacha uwanja wazi ili wadau mjimwage, sijaegemea kwa Uhuru wala kwa Agwambo.
 
Raisi Uhuru Kenya, muda wako wa kutawala nchi ya Kenya umeshawadia na kuanzia kesho anza kujitayarisha kumkabidhi Mfalme wa Jaluo Raila Odinga nchi, na haijalishi matokeo ya kura yatakuwaje, Muzungu ameamua kuwa Raila Odinga ndo Raisi ajaye wa Kenya, na haitajalisha kama utashinda kwa kura (ambapo binafsi naamini utashinda) au la, mimi mchango wangu kama Raila akija kujiapisha hapa Dar nitamfurumusha, kwa namna moja au nyingine yaani nitapaza sauti yangu hata kama haitasikika!

Poleni Wakenya, ...

unnamed%2B%2814%29.jpg
Barbarosa. Kubali tu wewe huwezi elewa siasa za Kenya kama vile Wakenya wanaielewa. This time hakuna rigging. I repeat again HAKUNA RIGGING. kwa hivyo serikali haiwezi iba kura. Kama Uhuru atashinda atashinda clean. Kama Raila atashinda atashinda clean. Hakuna anayejua mshindi ata Mimi mwenyewe sijui.
 
Barbarosa. Kubali tu wewe huwezi elewa siasa za Kenya kama vile Wakenya wanaielewa. This time hakuna rigging. I repeat again HAKUNA RIGGING. kwa hivyo serikali haiwezi iba kura. Kama Uhuru atashinda atashinda clean. Kama Raila atashinda atashinda clean. Hakuna anayejua mshindi ata Mimi mwenyewe sijui.


Ni kweli labda kutakuwa hakuna rigging lkn matokeo pekee ambayo Raila Odinga atayakubali ni yale ambayo yatamtanganza mshindi kinyume na hapo hawezi kukubali!
 
Washaanza Mizengwe kuna Watu ka 300 wana hati hati ya kutopiga Kura hapo Kesho huko Kisumu majina yao hayasomi kwenye mtandao....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tznians mko clueless about such issues , mjielemishe kiasi
huyo mzungu john kerry ni poll observer wamekuja kushuhudia uchaguzi wa kenya.
Former US Secretary of State John Kerry is leading a delegation of international observers from Carter Centre





pia African Union , Commonwealth, IGAD na European Union wametuma observers kushuhudia uchaguzi
rais mstaafu wa South Africa Thabo Mbeki anaongoza observers kutoka African Union
rais mstaafu wa Ghana John Mahama anaongoza observers kutoka common wealth

 
Wakenya Hawamhitaji Huyo Kibaraka Wa Wazungu Raila.Mapema Mno Kenyata Anashnda Asubuhi Kabla Ya Saa4 Asubuh
Kweli miafrika ndivyo tulivyo, wewe uko kwenu uko kibiti umefichama kukimbia polisi halafu unapost ati asubui tu laila kashindwa ujue wakenya wanakuona na kukulaani

S
 
Ni kweli labda kutakuwa hakuma rigging lkn matokeo pekee ambayo Raila Odinga atayakubali ni yale ambayo yatamtanganza mshindi kinyume na hapo hawezi kukubali!
Na Uhuru akishindwa anaeza kubali? Nyinyi Watanzania mko afadhali kwani rais aliye mamlakani akishindwa basi anatoka na kwenda zake. Uhuru akishinda ni sawa lakini akishindwa wafuasi wake sioni wakikubali. Wafuasi wa Jubilee ni fanatics kama wa Nasa. Wewe huwajui
 
Na Uhuru akishindwa anaeza kubali? Nyinyi Watanzania mko afadhali kwani rais aliye mamlakani akishindwa basi anatoka na kwenda zake. Uhuru akishinda ni sawa lakini akishindwa wafuasi wake sioni wakikubali. Wafuasi wa Jubilee ni fanatics kama wa Nasa. Wewe huwajui


Na hpo ndipo shida kubwa ilipo, TRUST, hakuna trust sasa itakuwaje? Ni kama vile uwe na girlfriend ambaye haumuamini, unawezaje kuishi naye kwa amani?
 
Na hpo ndipo shida kubwa ilipo, TRUST, hakuna trust sasa itakuwaje? Ni kama vile uwe na girlfriend ambaye haumuamini, unawezaje kuishi naye kwa amani?
Ndio nakubaliana nawe hakuna trust. Shida ya Kenya ni Kabila mbili wakikuyu na wajaluo. Sitasema zaidi ya hapo. Ningekufunza mengi kuhusu siasa ya Kenya lakini hii ni social media..si mahali pazuri sana kuongea kuhusu mambo mengine.
 
Barbarosa. Kubali tu wewe huwezi elewa siasa za Kenya kama vile Wakenya wanaielewa. This time hakuna rigging. I repeat again HAKUNA RIGGING. kwa hivyo serikali haiwezi iba kura. Kama Uhuru atashinda atashinda clean. Kama Raila atashinda atashinda clean. Hakuna anayejua mshindi ata Mimi mwenyewe sijui.
Rigging huwezi kuwa na uhakika haitokuwepo sababu Musando ameuliwa wauaji hawajapatikana na haujui wamechukua nini toka kwake, therefore usiandike as if una uhakika asilimia mia
 
Ndio nakubaliana nawe hakuna trust. Shida ya Kenya ni Kabila mbili wakikuyu na wajaluo. Sitasema zaidi ya hapo. Ningekufunza mengi kuhusu siasa ya Kenya lakini hii ni social media..si mahali pazuri sana kuongea kuhusu mambo mengine.
Wewe ongea bhana, kwani shida iko nini
 
Back
Top Bottom