Ogopa sana mgombea urais katika nchi za anayepigiwa chapuo na UK na US.Na hapo ndipo tatizo lilipo, kushinda kihalali ni relative, hakuna uchaguzi Dunia hii uliokamilika kwa 100%, hivyo ile tu watu wa Raila kuanza kulia kuibiwa kura tangu karibia miaka 2 kabla ya uchaguzi inaonyesha jinsi gani walivyojiandaa kukataa matokeo!
Kwa video hii inaonekana kenyata kapania kwelikweli raila kushinda ni ngumu ila lolote laweza kutokea tusubiri tuone https://m.facebook.com/video_redirect/?src=https://video-ams3-1.xx.fbcdn.net/v/t42.1790-2/20697511_1645126055558239_4085695663042461696_n.mp4?efg=eyJybHIiOjMwMCwicmxhIjo1MTIsInZlbmNvZGVfdGFnIjoic3ZlX3NkIn0%3D&oh=4bffb51382edfe4617a583e75bc53b4d&oe=5988CDA9&source=misc&id=851118325026886&__tn__=FR /URL]
Ha ha haaaa. Utakuwa wa green city wewe mkuuIfinja fihano, namaanisha miaka mi5. Uchaguzi ulifanyika 2012, hesabu kuanzia 13-17.
Sent using Jamii Forums mobile app
Yeah! Huu ndio unaitwa uchaguzi dume...uchaguzi wa kufa au kupona!Odinga akikosa anaweza atawahi kuzeeka kwa stress
Uhuru akikosa anaweza kustaafu siasa na jubilee ikasambaratika
I bet huu uchaguz utaenda second round
Mungu awajaalie aman ndugu zetu wakenya. Maana mnasgana sana
It is a neck to neck election... Huu ndo uchaguz sasa sio mtu anashinda kwa 98%
God bless Tanzania
Godbless Kenya
Godbless Eas Africa
mchana toch ,usiku magogo tufanyaje?
Kerry ni kiongozi wa observer wa Kimataifa waliofka Kenya kuangalia mwenendo wa uchaguzi nazan yupo na mama mmoja wa Senegal kutoka AU
Upepo ulivyo labda Uhuru aibe kura au attemper na system ya kura..bt dalili zote znaonyesha anategemea dola basi kazdiwa angle zote. ..corruption imekua kubwa sana ktk utawala wake na mauaji ya wasiomuunga mkono au wanaosmamia haki na ukweli. .Let's wait time will tellWakenya Hawamhitaji Huyo Kibaraka Wa Wazungu Raila.Mapema Mno Kenyata Anashnda Asubuhi Kabla Ya Saa4 Asubuh
Wewe wacha hio fitina.Mimi ni Mmeru kamili lakini siamini shida ni wakikuyu na Wajaluo pekee yao.Shida pia ni watu kama nyie mnaotaka kujiepusha lawama ya hating the kyuks n hating the Luo.Na mbona Waturkana ,Samburu,kipsigis wanapigana sana kati yao?Ndio nakubaliana nawe hakuna trust. Shida ya Kenya ni Kabila mbili wakikuyu na wajaluo. Sitasema zaidi ya hapo. Ningekufunza mengi kuhusu siasa ya Kenya lakini hii ni social media..si mahali pazuri sana kuongea kuhusu mambo mengine.
Ukweli inauma.Wewe wacha hio fitina.Mimi ni Mmeru kamili lakini siamini shida ni wakikuyu na Wajaluo pekee yao.Shida pia ni watu kama nyie mnaotaka kujiepusha lawama ya hating the kyuks n hating the Luo.Na mbona Waturkana ,Samburu,kipsigis wanapigana sana kati yao?
Hali ilivyo hivi sasa, yaelekea Uhuru ndo kashinda huu uchaguziOdinga akikosa anaweza atawahi kuzeeka kwa stress
Uhuru akikosa anaweza kustaafu siasa na jubilee ikasambaratika
I bet huu uchaguz utaenda second round
Mungu awajaalie aman ndugu zetu wakenya. Maana mnasgana sana
It is a neck to neck election... Huu ndo uchaguz sasa sio mtu anashinda kwa 98%
God bless Tanzania
Godbless Kenya
Godbless Eas Africa
mchana toch ,usiku magogo tufanyaje?
Ashashinda japo kiubabeHali ilivyo hivi sasa, yaelekea Uhuru ndo kashinda huu uchaguzi