Uzi maalumu wa kufarijiana kwa wale wote wanaopita kwenye hali ngumu za kimaisha

[emoji123][emoji123][emoji123][emoji123][emoji123]
 
Pole, hongera na pambana maana njia ushaiona tayari
 
Handsome sana yani anaweza kukupa ugonjwa wa moyo ukiingia dm yake wanavyomsumbua wadada wa mujini
Hayo ndiyo maneno.
Na Mimi niunganishe huko huko anifariji.
Umesema ni handsome eeeh
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…