Uzi maalumu wa kufarijiana kwa wale wote wanaopita kwenye hali ngumu za kimaisha

Uzi maalumu wa kufarijiana kwa wale wote wanaopita kwenye hali ngumu za kimaisha

Roho mbaya tu inakuaga
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] kazi ipo mawifi wasivyopenda Kaka zao kutoa pesa , lakini mawif hao hao wakipewa pesa na wanume zao wanajisifu wanapendwa , shida kwel kwel, kumuelewa mwanamke inahitaji elim zaidi ya uprofesa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom