flowerss
JF-Expert Member
- Nov 25, 2017
- 640
- 591
Mbona unawakatisha tamaa mtoa Uzi wa kufarijiana.Au huwataki tu wawepo hapa waonyeshe kupendana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kupendana kwa maneno .... kelele nyingiii humu. Tupeni mwaliko wa harusi hata kama ni chini ya mwembe mpate baraka zoteeee... kisha tuwasikie kama mtaendelea na hizi ngonjela humu
Sent using Jamii Forums mobile app