Uzi maalumu wa kumpongeza Rais Samia kwa miaka miwili akiwa madarakani

Uzi maalumu wa kumpongeza Rais Samia kwa miaka miwili akiwa madarakani

Nchi ilikuwa uchumi wa kati, mche wa sabuni ulikuwa 2,000 maharage yaliuzwa 1,200, unga wa mahindi uliuzwa 1000, nondo na bati .......
Msilete mapicha ya kulambishwa asali. RIP MAGUFULI
nchi Ina ardhi ya kutosha ww unalalamika Bei za maharage unataka nayo yatoke Canada chukua jembe ukalime.
 
Nchi ilikuwa uchumi wa kati, mche wa sabuni ulikuwa 2,000 maharage yaliuzwa 1,200, unga wa mahindi uliuzwa 1000, nondo na bati .......
Msilete mapicha ya kulambishwa asali. RIP MAGUFULI
Hata vitu vipande sana ukiwa hai utanunua.
Lakini enzi zake hata uhai ulikuwa mashakani
 
Hii picha kuna watu wakiitazama wanatamani dunia irudi nyuma.

Kufuatia uungwana wa viongozi wa cdm na ccm leo hii tumeanza kuona utangamano halisia ktk maisha yetu ya kila siku.

Jiwe alitaka watanzania tuishi kama wahutu na watusi kabla ya mwaka 1994.

Mungu mkubwa katuepusha hilo na sasa tunaishi kama ndugu wa familia moja.

Wana cdm wamejumuika na wana ccm kwenye shughuli za kitaifa bila kujali itikadi zao za siasa.

Itazameni hii picha mtaelewa nini nimemaanisha .View attachment 2558109
Acha upoyoyo. Sisi hatuli mapicha picha mama yenu kapaisha sana gharama za maisha
 
Hii picha kuna watu wakiitazama wanatamani dunia irudi nyuma.

Kufuatia uungwana wa viongozi wa cdm na ccm leo hii tumeanza kuona utangamano halisia ktk maisha yetu ya kila siku.

Jiwe alitaka watanzania tuishi kama wahutu na watusi kabla ya mwaka 1994.

Mungu mkubwa katuepusha hilo na sasa tunaishi kama ndugu wa familia moja.

Wana cdm wamejumuika na wana ccm kwenye shughuli za kitaifa bila kujali itikadi zao za siasa.

Itazameni hii picha mtaelewa nini nimemaanisha .View attachment 2558109
Mvua zinazoendelea kunyesha hakuna budi mwisho huja.
Hivyo tusubiri nalo litapita.
 
Ninapofikilia suala la mlo, furaha yote kwisha!

Ndugu' Kwa sasa wananchi wanaweza kuwa wanafurahia tu pale panapotokea kisherehe kinachokuwa kimeandaliwa na msosi, maana wanajua watapata na chakula hapo na siku itapita

Kikiisha, wanaombea tena atokee mtu mwingine kufanya sherehe ama Mbowe aitishe sherehe ya chama chake kuanza kupokea ruzuku ama vyovyote ili watu wapate chakula

Acheni jamani

Kwamba 10000 haitoshi kuandaa chakula cha mlo mmoja? Acha hiyo, kuipata sasa hiyo buku kumi!
 
Ninapofikilia suala la mlo, furaha yote kwisha!

Ndugu' Kwa sasa wananchi wanaweza kuwa wanafurahia tu pale panapotokea kisherehe kinachokuwa kimeandaliwa na msosi, maana wanajua watapata na chakula hapo na siku itapita

Kikiisha, wanaombea tena atokee mtu mwingine kufanya sherehe ama Mbowe aitishe sherehe ya chama chake kuanza kupokea ruzuku ama vyovyote ili watu wapate chakula

Acheni jamani

Kwamba 10000 haitoshi kuandaa chakula cha mlo mmoja? Acha hiyo, kuipata sasa hiyo buku kumi!
Hasara wanayo waliokuzaa bila kutarajia
 
Nchi ilikuwa uchumi wa kati, mche wa sabuni ulikuwa 2,000 maharage yaliuzwa 1,200, unga wa mahindi uliuzwa 1000, nondo na bati .......
Msilete mapicha ya kulambishwa asali. RIP MAGUFULI
Jiwe Aliitwa Mapema Sana Ila Alitufanyia Kazi Sana Yule Baba, Leo Ndiyo Nchi Ipo Kwenye Muhari, Na Ngonjera Za Kijino Pembe. Twafaa
 
Wakati jiwe anaingia madarakani alikuta sukari kilo moja sh 1800 lkn akaipandisha hadi sh 3000 hiyo mbona husemi wewe sukuma gang?
Hawa sukuma gang wanajifanya hawajui kwamba Jiwe ndiye katufikisha kwenye mfumko huu wa bei.??
 
OIP.NzYr8rmwiaCExt8fuwkzGQHaE-
OIP.SwQ1_dM_SVbuMfYYzp55UgHaHa

Kati ya vitu ambavyo mama Saia amefanikiwa kwa kiasi kikubwa ni kuondoa hofu, wasiwasi na kutokuwa na uhakika wa siku ya keshoye .
Mapungufu haya yalikuwepo Awamu ya Tano, na watu waliishi kwa kutojiamini na hofu kubwa.

Ilikuwa unaweza itwa kituoni polisi na ukapotea
Ilikuwa unaweza kuitwa na TRA, na unapotea mazima
Unaweza ukatembelewa na Task Force a kuchukuliwa kusikojulikan
Kuna waliobambikwa na madawa ya kulevya
Kwa vyama vya siasa upinzani ndio kabisa, ukinyanyua mdomo unafungwa kwanza halafu makosa ya uhaini yanaghushiwa baadaye.
Hata ndani ya CCM, ukisema fyoko, unajikuta segerea kwa uhujumu uchumi, wengine wamefia gerezani

Ukisha kuwa na hayo madudu katika Taifa, biashara haziendi, umoja unapotea, chuki na fitina zinashamiri.

Haya yote yalifanyika kwa makusudi ili kujenga hofu.
Mama ameyaondoa haya yote.
Big up mama Samia
 
Serikali ya Awamu ya Sita chini ya Rais Samia Suluhu Hassan imeendelea kufanya uwekezaji na mageuzi makubwa katika sekta ya afya tangu alipoingia madarakani tarehe 19 Machi, 2021.

Uboreshaji huu umefanyika katika maeneo ya miradi ya maendeleo ikiwemo uboreshaji wa miundombinu ya kutolea huduma za afya , ujenzi na ukarabati wa Hospitali mpya za kanda, Hospitali za Rufaa za Mikoa, upatikanaji wa dawa, vifaa tiba na vitendanishi, kuimarisha huduma za uchunguzi, kuimarisha huduma za mama na mtoto, kuendeleza na kuanzisha huduma za kibingwa na bobezi kama ifuatavyo;

1. Kuimarisha Miundombinu ya kutoa huduma za Afya
2. Kuimarisha huduma za Tiba za Dharura (EMDs), Wagonjwa Mahtuti na Wanaohitaji Uangalizi Maalumu (ICU)
3. Kuimarisha upatikanaji wa Dawa, VifaaTiba na Vitendanishi
4. Kuimarisha Huduma za Uchunguzi wa Magonjwa na Huduma za Uchunguzi wa Mionzi (Radiolojia)
5. Kuimarisha huduma za Afya ya Uzazi, Mama na Mtoto
6. Kuimarisha huduma za KIbingwa na Bobezi- kuanzisha huduma mpya za matibabu ya kibingwa
7. Kuimarisha Rasilimali Watu katika Afya- kusomesha Wataalam katika fani za Ubingwa

Mwelekeo wa Sekta
Kwa kuzingatia Dira ya Taifa ya Maendeleo, Mpango Mkakati wa Sekta ya Afya, Ilani ya Uchaguzi ya CCM, Serikali ya Awamu ya 6 itaendelea kufanya uwekezaji mkubwa kwenye sekta ya Afya kwa lengo la kuimarisha ubora wa huduma ili kufikia lengo la Afya kwa wote. Mwelekeo mkubwa utakuwa ni kuimarisha UBORA WA HUDUMA NA SIO BORA HUDUMA.

28 (9).jpg
 
Mbona husemi kupandisha bei bima ya NHIF kwa watoto kwa silimia 100%?
 
Back
Top Bottom