Watakwambia wewe ni mgonjwa wa MilembeNchi ilikuwa uchumi wa kati, mche wa sabuni ulikuwa 2,000 maharage yaliuzwa 1,200, unga wa mahindi uliuzwa 1000, nondo na bati .......
Msilete mapicha ya kulambishwa asali. RIP MAGUFULI
Labda legacy ya kina Sabaya na MakondaPicha inaonenyesha wanahuzuni kibao,mialiko ya kutengeneza kupambana na legacy ya mwamba
Sukuma gang wengi wao sasa hivi wana mafaili mirembeWatakwambia wewe ni mgonjwa wa Milembe
Wewe ulifikaje/ulijuaje km sio mgonjwa mmoja wapoSukuma gang wengi wao sasa hivi wana mafaili mirembe
Utanijua siku ukija kuchukua vidongeWewe ulifikaje/ulijuaje km sio mgonjwa mmoja wapo
Mu-address kwa heshima mkuu.Atachukia.Muite "Mteja wa Milembe Hotels"!Watakwambia wewe ni mgonjwa wa Milembe
Kuwa makini mkuu.Huwa hawakawii kurukia madaktari na kuanza ugomvi.Jitahidi awe upande wa pili wa nondo ndiyo apewe dozi yake.Utanijua siku ukija kuchukua vidonge
nchi Ina ardhi ya kutosha ww unalalamika Bei za maharage unataka nayo yatoke Canada chukua jembe ukalime.Nchi ilikuwa uchumi wa kati, mche wa sabuni ulikuwa 2,000 maharage yaliuzwa 1,200, unga wa mahindi uliuzwa 1000, nondo na bati .......
Msilete mapicha ya kulambishwa asali. RIP MAGUFULI
Hata vitu vipande sana ukiwa hai utanunua.Nchi ilikuwa uchumi wa kati, mche wa sabuni ulikuwa 2,000 maharage yaliuzwa 1,200, unga wa mahindi uliuzwa 1000, nondo na bati .......
Msilete mapicha ya kulambishwa asali. RIP MAGUFULI
Acha upoyoyo. Sisi hatuli mapicha picha mama yenu kapaisha sana gharama za maishaHii picha kuna watu wakiitazama wanatamani dunia irudi nyuma.
Kufuatia uungwana wa viongozi wa cdm na ccm leo hii tumeanza kuona utangamano halisia ktk maisha yetu ya kila siku.
Jiwe alitaka watanzania tuishi kama wahutu na watusi kabla ya mwaka 1994.
Mungu mkubwa katuepusha hilo na sasa tunaishi kama ndugu wa familia moja.
Wana cdm wamejumuika na wana ccm kwenye shughuli za kitaifa bila kujali itikadi zao za siasa.
Itazameni hii picha mtaelewa nini nimemaanisha .View attachment 2558109
Mvua zinazoendelea kunyesha hakuna budi mwisho huja.Hii picha kuna watu wakiitazama wanatamani dunia irudi nyuma.
Kufuatia uungwana wa viongozi wa cdm na ccm leo hii tumeanza kuona utangamano halisia ktk maisha yetu ya kila siku.
Jiwe alitaka watanzania tuishi kama wahutu na watusi kabla ya mwaka 1994.
Mungu mkubwa katuepusha hilo na sasa tunaishi kama ndugu wa familia moja.
Wana cdm wamejumuika na wana ccm kwenye shughuli za kitaifa bila kujali itikadi zao za siasa.
Itazameni hii picha mtaelewa nini nimemaanisha .View attachment 2558109
SawaMvua zinazoendelea kunyesha hakuna budi mwisho huja.
Hivyo tusubiri nalo litapita.
Hasara wanayo waliokuzaa bila kutarajiaNinapofikilia suala la mlo, furaha yote kwisha!
Ndugu' Kwa sasa wananchi wanaweza kuwa wanafurahia tu pale panapotokea kisherehe kinachokuwa kimeandaliwa na msosi, maana wanajua watapata na chakula hapo na siku itapita
Kikiisha, wanaombea tena atokee mtu mwingine kufanya sherehe ama Mbowe aitishe sherehe ya chama chake kuanza kupokea ruzuku ama vyovyote ili watu wapate chakula
Acheni jamani
Kwamba 10000 haitoshi kuandaa chakula cha mlo mmoja? Acha hiyo, kuipata sasa hiyo buku kumi!
Jiwe Aliitwa Mapema Sana Ila Alitufanyia Kazi Sana Yule Baba, Leo Ndiyo Nchi Ipo Kwenye Muhari, Na Ngonjera Za Kijino Pembe. TwafaaNchi ilikuwa uchumi wa kati, mche wa sabuni ulikuwa 2,000 maharage yaliuzwa 1,200, unga wa mahindi uliuzwa 1000, nondo na bati .......
Msilete mapicha ya kulambishwa asali. RIP MAGUFULI
Hawa sukuma gang wanajifanya hawajui kwamba Jiwe ndiye katufikisha kwenye mfumko huu wa bei.??Wakati jiwe anaingia madarakani alikuta sukari kilo moja sh 1800 lkn akaipandisha hadi sh 3000 hiyo mbona husemi wewe sukuma gang?
Wanjua ila sema kuwa wamekula kiapo cha kulinda legacy ya hovyoHawa sukuma gang wanajifanya hawajui kwamba Jiwe ndiye katufikisha kwenye mfumko huu wa bei.??