ABJ
JF-Expert Member
- Aug 29, 2017
- 4,891
- 13,750
Mama wa kushangilia nakuwona [emoji16][emoji16]Woooooooooozeeeeeer
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mama wa kushangilia nakuwona [emoji16][emoji16]Woooooooooozeeeeeer
MwaaaaNaona umeshikwa na kupatwa kabisa dina,hongera endelea kumshikilia kwakweli
[emoji253][emoji257][emoji272]
Mm sijafunga pm mkuuNimeipenda mkuu nikaamua nifanye majaribio kabisa
Wooooooozeeeeer kama kawaida
kama umeniacha niambie " nikushitaki kwa Dada yko
hahaa ..kama umeniacha niambie ..nikushitaki kwa dada yako "
Hahahahaaa Haya weeWooooooozeeeeer kama kawaida
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]kama umeniacha niambie " nikushitaki kwa Dada yko
Una mapenzi mpaka shetani anayaogopa in mwana fa's voiceNilitamani kupata mwanaume anaevutia atakaenivutia, atakaenidekeza, atakenibembeleza, atakaenipa mahaba na kunisahaulisha yaliyopita, furaha Unayonipa ni zaidi ya kila kitu kwangu,nikitembea Naringa navimba kwa furaha, Ukinishika mkono na kiuno na kunivutia kifuani kwako nahisi Kama tupo dunia ya peke yetu,Tabasamu lako sauti yako nzito yenye mikwaruzo nikiisikia tu nahisi usingizi wa Raha ,una hofu ya Mungu, unajali kwenye furaha na huzuni, nimeamini mapenzi hutua popote pale, na unachokiomba kwa Mungu ndicho anachokupa, ambao bado mnahangaika na makurumbembe poleni msichoke kuomba
nakuahidi kukupenda mpaka kufa kwangu, we ni nuru ya Moyo wangu, nakupenda Mme wangu ,G wangu mimi sijui ulikuwaga wapi toka zamani Nakasirika nikifikiria hivi utamu unaonipa nahisi nimechelewa kuupata, sikuachi hata nikute unatomba nakuchukua nakuambia Pole G wangu naenda kukuogesha nakubembeleza ulale nakupa na game zito, Hakuna kuachika
teh.... naona wiviNanii jamani umeuteka moyo wangu kijana wewe
Ni wewe ujue[emoji23] [emoji23] [emoji23]teh.... naona wivi