Humble African
JF-Expert Member
- Jul 28, 2013
- 4,781
- 14,415
Would you please rescue me hun? The lonely days are getting stronger and stronger. [emoji27] [emoji180][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Pole sana aiseeh
Sent using Jamii Forums mobile app
Woooooow
Nimecheka hyo Aya ya mkopo wa Saccos[emoji3] [emoji3], utampata tu anayejua uchungu wa mkopo mtaenda sawaaMaandishi murua sana haya we mwanamke.
Kuna wanaume Duniani wana bahati sana yaani unapata mwanamke wa aina ya Dinazarde then Maisha yanataka nini tena hapo? G is super lucky. Yaani ungekuwa wangu kwa hii love vibe yako...I would responds by giving you some gud gud loving yaani.
Nakumbuka napataga mademu majambazi tu yanakula mkopo wangu wa Saccos na kuniachia manyoya...! [emoji23] [emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Utamuweza Humble anajua kutuua mbavuNimecheka hyo Aya ya mkopo wa Saccos[emoji3] [emoji3], utampata tu anayejua uchungu wa mkopo mtaenda sawaa
G anafaidi sana mywii, hongera kwa kuwa mwanamke wa nguvuWoooooow
Wifi wa ukweeee
Embu niandikie kwa lugha ya nyumbani niweze kutamba jukwaani vizuri mpendwa kwasababu hapo hata sijaelewa [emoji26][emoji26]Would you please rescue me hun? The lonely days are getting stronger and stronger. [emoji27] [emoji180]
Sent using Jamii Forums mobile app
Asante nilifunga kuomba wifi
Asanteh mywii tuzidi kuombeanaAsante nilifunga kuomba wifi
Hata nawe umepata hakika Hongera
[emoji23] umeona eehWaache tu being single inalipa .. ni vile hawajui tu.
Naona umeshikwa na kupatwa kabisa dina,hongera endelea kumshikilia kwakweliNilitamani kupata mwanaume anaevutia atakaenivutia, atakaenidekeza, atakenibembeleza, atakaenipa mahaba na kunisahaulisha yaliyopita, furaha Unayonipa ni zaidi ya kila kitu kwangu,nikitembea Naringa navimba kwa furaha, Ukinishika mkono na kiuno na kunivutia kifuani kwako nahisi Kama tupo dunia ya peke yetu,Tabasamu lako sauti yako nzito yenye mikwaruzo nikiisikia tu nahisi usingizi wa Raha ,una hofu ya Mungu, unajali kwenye furaha na huzuni, nimeamini mapenzi hutua popote pale, na unachokiomba kwa Mungu ndicho anachokupa, ambao bado mnahangaika na makurumbembe poleni msichoke kuomba
nakuahidi kukupenda mpaka kufa kwangu, we ni nuru ya Moyo wangu, nakupenda Mme wangu ,G wangu mimi sijui ulikuwaga wapi toka zamani Nakasirika nikifikiria hivi utamu unaonipa nahisi nimechelewa kuupata, sikuachi hata nikute unatomba nakuchukua nakuambia Pole G wangu naenda kukuogesha nakubembeleza ulale nakupa na game zito, Hakuna kuachika