Uzi maalumu wa kupeana connection mbalimbali za biashara

Uzi maalumu wa kupeana connection mbalimbali za biashara

Natamani sana kuendesha magari makubwa (semitrera) Naomba mwenye connection tafadhari hata kama ni kwa malipo

Natanguliza shukran
Mkuu nakushauli kma una leseni hiyo ya kuendesha magari makubwa fanya hivi .kuna nchi inaitwa Qatar mwakani kuna kombe la dunia sasa ukipata connection ya kuendesha magari kule utapa pesa sana maana wana lipa vizuri sana kuanzia milion 2 za kitanzania. Fanya mchakato ufike huko.
 
Salaaams wakuu.

Natafuta connection ya kuagiza bidhaaa kama mapazia, mashuka (100% cotton), duvet, wardobes n.k kutoka china au thailand.

Natanguliza shukran
Mkuu mimi mkewangu anafanya hiyo biashara ya mashuka mapazia na duvet kama utakuwa na uwitaji. Niambie. Zipo za Thailand China na German.
 
Mkuu nakushauli kma una leseni hiyo ya kuendesha magari makubwa fanya hivi .kuna nchi inaitwa Qatar mwakani kuna kombe la dunia sasa ukipata connection ya kuendesha magari kule utapa pesa sana maana wana lipa vizuri sana kuanzia milion 2 za kitanzania. Fanya mchakato ufike huko.
Ningepata ufafanuzi wa hili mkuu nani ana connection ya Qatar?
 
Nahitaji kupata masoko ya wanunuzi wa mabucha ya samaki sato,sangara,kamongo na kambare wenye uhitaji wa kuanzia kg. 100 nakuendelea kwa mikoa ya Dar ,Morogoro,Dodoma,Mbeya,Arusha,Kilimanjaro na mikoa mwingine. Samaki wanatoka kanda ya ziwa wateja wewe waaminifu.
Subiri kidogo nitakutafuta.
 
Kuna ist mpya ipo bandari mtu kaagiza kashindwa kuikomboa
Yeye anahitaji m5 tu alioagizia kutoka Japan
Namba zake ni 0736770052
 
Back
Top Bottom