boniphace ratego
Member
- Jun 20, 2019
- 73
- 78
Mkuu nakushauli kma una leseni hiyo ya kuendesha magari makubwa fanya hivi .kuna nchi inaitwa Qatar mwakani kuna kombe la dunia sasa ukipata connection ya kuendesha magari kule utapa pesa sana maana wana lipa vizuri sana kuanzia milion 2 za kitanzania. Fanya mchakato ufike huko.Natamani sana kuendesha magari makubwa (semitrera) Naomba mwenye connection tafadhari hata kama ni kwa malipo
Natanguliza shukran
Huku kuna elfu 15,, 25 50, adi elfu 60.zakiganda lakini afu kiatu ni grade 1.kabisa..elfu 50 ya kiganda ni sawa na 35 ya kitanzaniasijakataaa mkuu, mimi nataka kujua bei ili nijue najipangaje kuchukua mzigo
Nicheki 0763542515 tuongee mkuuNaomba gharama zake
Mkuu mimi mkewangu anafanya hiyo biashara ya mashuka mapazia na duvet kama utakuwa na uwitaji. Niambie. Zipo za Thailand China na German.Salaaams wakuu.
Natafuta connection ya kuagiza bidhaaa kama mapazia, mashuka (100% cotton), duvet, wardobes n.k kutoka china au thailand.
Natanguliza shukran
Dagaa una ni wanyama au hawa wakawaida. Kama wanyama mimi naitajiMkuu kama unahitaji dagaa ninao, nauza kwa jumla kama unahitaji nicheki tufanye biashara
Kwa kuuzaKwa kuuza au kununua
Ningepata ufafanuzi wa hili mkuu nani ana connection ya Qatar?Mkuu nakushauli kma una leseni hiyo ya kuendesha magari makubwa fanya hivi .kuna nchi inaitwa Qatar mwakani kuna kombe la dunia sasa ukipata connection ya kuendesha magari kule utapa pesa sana maana wana lipa vizuri sana kuanzia milion 2 za kitanzania. Fanya mchakato ufike huko.
Hivi walishafungua mpaka? Na business zinaendelea Uganda?Kwanza huku Uganda pesa yetu ni kubwa. Pia ni wewe mwenyew tu
Subiri kidogo nitakutafuta.Nahitaji kupata masoko ya wanunuzi wa mabucha ya samaki sato,sangara,kamongo na kambare wenye uhitaji wa kuanzia kg. 100 nakuendelea kwa mikoa ya Dar ,Morogoro,Dodoma,Mbeya,Arusha,Kilimanjaro na mikoa mwingine. Samaki wanatoka kanda ya ziwa wateja wewe waaminifu.
Muda sana aisee mipaka ilifunguliwa...wewe kama una biashara yako ww rete tu.mkuuHivi walishafungua mpaka? na business zinaendelea Uganda?
Upo Uganda kamandaMuda sana aisee mipaka ilifunguliwa...wewe kama una biashara yako ww rete tu.mkuu
Nasikia vipimo vya covid ni balaa pale MtukuraMuda sana aisee mipaka ilifunguliwa...wewe kama una biashara yako ww rete tu.mkuu
Mkuu ni hivi connection ipo ni wewe tu kuandaa documents tu .pia unalipia process zote. Maana sio mimi nae process hayo mambo mkuu. Nazani nimekujibu mkuuNingepata ufafanuzi wa hili mkuu Nani ana connection ya Qatar?
Hapana mkuu wewe kama unaleta biashara wewe lete tu aina shida mkuu.Nasikia vipimo vya covid ni balaa pale Mtukura
Ndio mkuu nipo Uganda huku.Upo Uganda kamanda
Kodi ni malipo ya mapato na kwa kila mfanya biashara na inahusika TRAHivi Business name inalipiwa Kodi baada ya kusajiri
Naonaje bill yangu mkuu nilisajiri jina la biashara nataka nijue bill yangu.Kodi ni malipo ya mapato na kwa kila mfanya biashara na inahusika TRA
Jiba la bIashara hulipiwa kila mwaka; return BRELA. Hii ni tofauti kabisa na KODI