WAKUNJOMBE
JF-Expert Member
- Dec 27, 2010
- 615
- 624
Mm nafungua duka la vinywaji (liquor store)nina mtaji kama wa 70m..issue napata wapi hizo bidhaa yaani vinywaji vikali...naombeni connection...Nina Kama wiki tatu huku Kuna fursa nyingi sana upande wa biashara ya mazao mchawi mtaji tu.
Inategemea na baskeli ipi uitakayo ukiwa serious nicheki PmBaiskeli zinakwenda vp
Mm nafungua duka la vinywaji (liquor store)nina mtaji kama wa 70m..issue napata wapi hizo bidhaa yaani vinywaji vikali...naombeni connection...
Tugawane faida kidogo ili maisha yaendeeNinahitaji sendo za kike na kiume,boxer za kiume na bukta kwa bei ya jumla.Naweza kuvipata maeneo gani kariakoo?
Bila kusahau viti pendwa kwa wadada nakutumia popote ulipo ndani ya Tanzania ila utaongeza nauli kidogo maisha yaendee 13,000tu,dazeni moja mojaTugawane faida kidogo ili maisha yaendee
Hapo chini hizo za kiume bei ya jumla nitakupatia kwa
7500 bei ya jumla kuanzia pc3, izo kwenye mfuko zinakuwa pics 6=21500,,zinazofuata hizo za kiume 19,000,, izo za mwisho chini 37,000
Nitakutmia kama uko mbali na dar es salaam ila utqchangia nauli kidogo uamini kwanza kabla ya kazi karibi sanaView attachment 2263145View attachment 2263146View attachment 2263150View attachment 2263149View attachment 2263153View attachment 2263154View attachment 2263156View attachment 2263157
Unazo zile chupi za kamba? Maana hizo ndio nasikia zinauza sana hasa kwa wadada wenye matakoBila kusahau viti pendwa kwa wadada nakutumia popote ulipo ndani ya Tanzania ila utaongeza nauli kidogo maisha yaendee 13,000tu,dazeni moja moja
Karibu sana.
Hakuna cha dm ni hapa hapa[emoji1787]View attachment 2263165View attachment 2263170View attachment 2263169View attachment 2263166View attachment 2263167View attachment 2263168View attachment 2263172View attachment 2263171
Naamu mkuuMimi nipo iringa. Binafsi ninakipaji cha kuwa na business ideas mbalimbali. Jicho langu naliamini Sana. Mtu yeyote aliye iringa tujadili hapa hapa bila kwenda pm ili tuvumbue ideas za biashara kw mkoa WA iringa. Mimi sina mtaji Ila nikikusaidia ukafanikiwa mungu atanibariki.
Tv inch 64 nipe Bei smartAnotaka kuniagiza mzigo nipo zenji hpa bei za zenji zinajulikana
Tv,baskeli, inshort chochote kile mimi nitakutafutia na uaninifu ni 100%
Zipo ndugu za kutosha[emoji16]Unazo zile chupi za kamba? Maana hizo ndio nasikia zinauza sana hasa kwa wadada wenye matako
Mpya au used?Tv inch 64 nipe Bei smart
Kiongozi nitafute tuyajenge DMNaomba mwenye connection ya asali mbichi inakopatikana, bei n.k atujuze hapa
UnauzajeZipo ndugu za kutosha[emoji16]View attachment 2263182
Tutafutane PM nahitaji asali mbichi piaZipo lita zaidi ya 150 kwa lita ishirini unafanyiwa 140k
Izo ndugu 12,000,dazeni ukichukua zaidi bei inashuka kidogo ndugu.Unauzaje
Mimi nipo iringa. Binafsi ninakipaji cha kuwa na business ideas mbalimbali. Jicho langu naliamini Sana. Mtu yeyote aliye iringa tujadili hapa hapa bila kwenda pm ili tuvumbue ideas za biashara kw mkoa WA iringa. Mimi sina mtaji Ila nikikusaidia ukafanikiwa mungu atanibariki.
Ulishapata namna ya kusafirisha dagaa na samaki? Kamahujapata nipmConnection kuhusu uuzaj dagaa na samak Dodoma mweny idea tafadhar kuhusu process za usafirishaj na vibali.
Sent using Jamii Forums mobile app
Naomba bei ya ps4 slim na pro used au new.Anotaka kuniagiza mzigo nipo zenji hpa bei za zenji zinajulikana
Tv,baskeli, inshort chochote kile mimi nitakutafutia na uaninifu ni 100%