Mkushi w jani
JF-Expert Member
- Oct 2, 2021
- 1,798
- 1,570
npo moro ntaka dazeni moja aseeee ni sh ngap?Bila kusahau viti pendwa kwa wadada nakutumia popote ulipo ndani ya Tanzania ila utaongeza nauli kidogo maisha yaendee 13,000tu,dazeni moja moja
Karibu sana.
Hakuna cha dm ni hapa hapa[emoji1787]View attachment 2263165View attachment 2263170View attachment 2263169View attachment 2263166View attachment 2263167View attachment 2263168View attachment 2263172View attachment 2263171
Unahitaji makaa? Na unataka kujua nini.karibuMwenye ufahamu kuhusu biashara ya makaa ya mawe ani pm tufanye jambo.
Sawa sbr nikimuona mshkaji wangu anouza ps nitakujuza bei yakeNaomba bei ya ps4 slim na pro used au new.
Jibu tu apaapa mkuu pm sio rafiki
Ukitaka jumla kwa izo sendo za chini kbsa inakuwaje mzeeTugawane faida kidogo ili maisha yaendee
Hapo chini hizo za kiume bei ya jumla nitakupatia kwa
7500 bei ya jumla kuanzia pc3, izo kwenye mfuko zinakuwa pics 6=21500,,zinazofuata hizo za kiume 19,000,, izo za mwisho chini 37,000
Nitakutmia kama uko mbali na dar es salaam ila utqchangia nauli kidogo uamini kwanza kabla ya kazi karibi sanaView attachment 2263145View attachment 2263146View attachment 2263150View attachment 2263149View attachment 2263153View attachment 2263154View attachment 2263156View attachment 2263157
Nipo Tanga mjiniUnapatikana wapi mkuu?
Ukito anamba ndio bomba zaidi.. namba yangu whatsapp ni 0767935050Mimi nipo iringa. Binafsi ninakipaji cha kuwa na business ideas mbalimbali. Jicho langu naliamini Sana. Mtu yeyote aliye iringa tujadili hapa hapa bila kwenda pm ili tuvumbue ideas za biashara kw mkoa WA iringa. Mimi sina mtaji Ila nikikusaidia ukafanikiwa mungu atanibariki.
mm ni nayo ps 4 mpya nitafute 0173890887 anu 0767935050Naomba bei ya ps4 slim na pro used au new.
Jibu tu apaapa mkuu pm sio rafiki
Kwanini usiseme tu apa chief pengine me naweza shindwana na ww mwingine akawezana mkamalizana..mm ni nayo ps 4 mpya nitafute 0173890887 anu 0767935050
Nina Ps 2 ina memo yenye data na padi 2 bei 120k kwa atae hitaji location TangaNaomba bei ya ps4 slim na pro used au new.
Jibu tu apaapa mkuu pm sio rafiki
Nipo Tanga mjini
Dazeni zipo kuanzia elfu 12 mpaka elf40npo moro ntaka dazeni moja aseeee ni sh ngap?
Kuanzia 3pcs,utapata kwa 36000,Ukitaka jumla kwa izo sendo za chini kbsa inakuwaje mzee
0719554607Kuanzia 3pcs,utapata kwa 36000,
Nakutumia mzigo mapema sana,weka namba nikutumie bidhaa nilizonazo zote ili uchague tufanye bihashara ndugu.
Nimekutafuta ila sikuoni online0719554607
Tupia vtu mzee ntavikuta tuNimekutafuta ila sikuoni online
Unataka kumnunulia nani kifuniko cha asali😂😂Unauzaje
Wake za watu wamesemanhaiwezekai waume zao wanawanunulja chupi alafu mie naondoka nazo. So inabidi niwanunulie mie wazivae alafu ndio wanipe nikae nazo kama ukumbusho.Unataka kumnunulia nani kifuniko cha asali😂😂
Bei gani, na unapima vipi ebu weka vizuriNauza makopa/mihogo mikavu nipo Nyakanazi Tz.View attachment 2264809
Mkuu kama upo Iringa mimi nipo Njombe, sio mbaya ukishare na mimi hizo idea huenda zikawa na manufaa kwa ukanda huuMimi nipo iringa. Binafsi ninakipaji cha kuwa na business ideas mbalimbali. Jicho langu naliamini Sana. Mtu yeyote aliye iringa tujadili hapa hapa bila kwenda pm ili tuvumbue ideas za biashara kw mkoa WA iringa. Mimi sina mtaji Ila nikikusaidia ukafanikiwa mungu atanibariki.