Uzi maalumu wa kupeana connection mbalimbali za biashara

Uzi maalumu wa kupeana connection mbalimbali za biashara

Tugawane faida kidogo ili maisha yaendee
Hapo chini hizo za kiume bei ya jumla nitakupatia kwa
7500 bei ya jumla kuanzia pc3, izo kwenye mfuko zinakuwa pics 6=21500,,zinazofuata hizo za kiume 19,000,, izo za mwisho chini 37,000
Nitakutmia kama uko mbali na dar es salaam ila utqchangia nauli kidogo uamini kwanza kabla ya kazi karibi sanaView attachment 2263145View attachment 2263146View attachment 2263150View attachment 2263149View attachment 2263153View attachment 2263154View attachment 2263156View attachment 2263157
Ukitaka jumla kwa izo sendo za chini kbsa inakuwaje mzee
 
Mimi nipo iringa. Binafsi ninakipaji cha kuwa na business ideas mbalimbali. Jicho langu naliamini Sana. Mtu yeyote aliye iringa tujadili hapa hapa bila kwenda pm ili tuvumbue ideas za biashara kw mkoa WA iringa. Mimi sina mtaji Ila nikikusaidia ukafanikiwa mungu atanibariki.
Ukito anamba ndio bomba zaidi.. namba yangu whatsapp ni 0767935050

Mfano nilipo kuwa nawaza kuwekeza katika vinywaji vikali makambako na mafinga vilikuwa kichwani mwangu..ila nikaamua kuanza na Korogwe
 
Unataka kumnunulia nani kifuniko cha asali😂😂
Wake za watu wamesemanhaiwezekai waume zao wanawanunulja chupi alafu mie naondoka nazo. So inabidi niwanunulie mie wazivae alafu ndio wanipe nikae nazo kama ukumbusho.
Napendaga kuzinusa nusa nikuwa chumbani kwangu.

Mzima lakini wewe? Umepotea au ndio ulishapata mume
 
Nauza makopa/mihogo mikavu nipo Nyakanazi Tz.
IMG_20220610_175515_099.jpg
 
Mimi nipo iringa. Binafsi ninakipaji cha kuwa na business ideas mbalimbali. Jicho langu naliamini Sana. Mtu yeyote aliye iringa tujadili hapa hapa bila kwenda pm ili tuvumbue ideas za biashara kw mkoa WA iringa. Mimi sina mtaji Ila nikikusaidia ukafanikiwa mungu atanibariki.
Mkuu kama upo Iringa mimi nipo Njombe, sio mbaya ukishare na mimi hizo idea huenda zikawa na manufaa kwa ukanda huu
 
Back
Top Bottom