Uzi maalumu wa kupeana connection mbalimbali za biashara

TRADE MILLS,
KUPUNGUZA UNENE & KUJIKEEP FIT
New Arrival - USA, UK, Germany, France, Japan and more; 15 Different Countries|| Original For Less|| Direct Purchase Click On Link
 

Attachments

  • TRADEMILL.JPG
    40 KB · Views: 40
TANGAZO LA KUUZA NYUMBA


NYUMBA INAUZWA IPO GONGO LA MBOTO JIJINI DAR ES SALAM

NYUMBA ZIPO MBILI KUBWA NA NDOGO (BANDA LA UWANI)

NYUMBA KUBWA INA VYUMBA 3 CHOO CHA NDANI JIKO NA SITING ROAM

NYUMBA NDOGO INA VYUMBA 4 KTK VYUMBA HIVYO , VYUMBA 2 VINA VYOO NDANI KWA NDANI NA VYUMBA VIWILI VYOO VYAKE NI VYA NJE

NYUMBA ZINA UMEME NA MAJI (BOMBA) NA NDANI KWENYE SAKAFU KUNA TIRES LKN PIA KUNA TENK KUBWA LA KUHIFADHIA MAJI

NYUMBA ZIPO NDANI YA FENSI JAPO HAKUNA GETI LA KUFUNGUA AU KUFUNGA LKN UKITAKA KUWEKA NI RAHISI , NYUMBA INA SEHEMU KUBWA YENYE UWAZI AMBAPO UNAWEZA WEKA GARI 3 ZENYE UKUBWA MFANO WA NOAH

NYUMBA IPO HATUA CHACHE KUTOKA BARA BARA, NYUMBA IPO KARIBU NA CHUO CHA KIUTA GONGO LA MBOTO AU KARIBU NA MARKAZI YA GONGO LA MBOTO

WAMILIKI WA NYUMBA NI MKE NA MUME NA WOTE WAMERIDHIANA KUUZA NYUMBA NA HAKUNA MGOGORO

MABANDA YA UWANI KUNA WAPANGAJI NA NYUMBA KUBWA INAKALIWA NA FAMILIA

NYUMBA INAUZWA SH MILIONI 90 ZA KITANZANIA NA HAKUNA DALALI HAPO UKIITAJI UNAKWENDA KUPELEKWA MOJA KWA MOJA NA WAMILIKI KWA MAWASILIANO NICHEKI KWA NAMBA

+225785332010, LKN PIA NAPATIKANA WHATSAPP KWA NAMBA HIZO UKITAAJI PICHA YA NYUMBA


KARIBU SANA

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
 
Picha
 
Namba ya cm
 
Source #1:

Source #2:
PIKIPIKI HII INAUZWA BEI NZURI SANA

Wakuu ni matumaini yangu wote humu mko poa, kijana wenu baada ya salam nmekuja kwenu kuwapaa fursa ya pikipiki ninaiuza ni tvs150 ya blue ni gia 4 sio 5 ni zile za mwanzo mwanzo ni imara sana na bado iko na hali nzuri kama inavoonekana hapo kweny picha inapiga stata jino moja tu imewaka ni namba Mc 679 CBB ni mali yangu mwenyewe haina tatizo bali mimi ndo nina shida ya hera maana kimfaaacho mtu chake niliinunua kwa mtu nae alikuwa na shida nmetumia kwa mda wa kama mwaka mmoja baada ya kuinunua

Bei yake ni laki 9 na nusu ila ukiwa serious maongezi yapo, alieniuzia alikuwa anatumia kuendea tu kazini na kurudi ila baada mimi kuinunua niliifanya bodaboda, Docoment zake zote zipo kwa maana ya Kadi ya pikipiki mimi sio mara ya kwanza kufanya biashara hapa mtandaoni hasa hapa jf ninaishi dar kwangu mitaa ya Kinyerezi Kifuru unaweza kuja hata ukapaona kwangu napokaa na familia yangu pia nishauza vitu kibao tu na wala sina longolongo wala siuzagi vitu vyenye matatizo ni vyangu mwenyewe

nishawahi uza hapahapa jf na vyote nilipata wateja, kwaiyo niwaondoe shaka, Unaweza usihitji wewe lakini ukawa ndugu jamaa nna maafiki hata jirani yako pia. Asanteni na karibuni sana wahi usichelewe Kwa mawasiliano nichek call, sms na WhatsApp 0756695846 na 0712776823.

 
Habari zenu wapendwa katika bwana nataka kufanya biashara ya rasta kutoka kiwandani kama kuna mtu anaujuzi please naomba msahada

Asanteni
 
Nyumba inauzwa. Ina vyumba Saba na vyoo sita,Ina eneo la sqm 600,Ina mabanda ya kufugia kuku pia.
Nyumba ipo Tabata Segerea,bei ni milioni mia na hamsini(150000000) maongezi pia yapo.

Kwa maelezo zaidi piga/what's app namba 0678028472.
Karibuni sana.
 
Nashida na pikpk used mkuu asie kuw namakuu aniuzie bei za January
Hlx 150 tvc ndio chaguo la kwanza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…