Nsennah
JF-Expert Member
- Jan 9, 2021
- 1,947
- 1,554
Nimesema ili nijue bei. Zinakuwemo 5?Kwa Io umeskia nimesema 40 rim saivi 57000
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimesema ili nijue bei. Zinakuwemo 5?Kwa Io umeskia nimesema 40 rim saivi 57000
NdioNimesema ili nijue bei. Zinakuwemo 5?
Nipo Dar nauza kwa rejarejaUpo wap mkuu ,? Na unauzaje kwa jumla?
Ongeza huduma za online za ...Tunapatikana:
Office number 121, Ground floor
Jengo la “White Beach Park” building, Tanki Bovu,
Mbezi Beach, Dar es Salaam, Tanzania.
View attachment 2916917
Unahitaji kufungua kampuni?Mwenye connection ya kufungua company ya nguo za watoto jinsia zote me na ke kuanzia miaka 2-15
Una liquor store au??Wasamvazaji wa pombe kali
Tutafutane kwa simu no. 0717 724 800
Mjasiriamali anawezaje kuingia humu?Popote pale ulipo, fanya biashara pata maisha. Nnawaombea mafanikio mema.
Ukiwa bado unajitafuta na ukataka kuongeza wigo wa wateja Tanzania na dunia nzima kupitia majarida na mtandao basi karibu sana
Humu utakutana na wajasiriamali wenzio tutaongea mambo yetu na kuchapisha makala zinazotuhusu (blogs na magazine)
Utakuwa na duka lako mtandaoni utakapopanga bidhaa zako, bei zako na kuzielezea.
Utajibu maswali na comments za wateja (reviews)
Kiufupi ni kama umejisajili maonyesho ya nanenane ya mtandaoni ya siku zote. Bure bilashi!
Natafuta kibanda kilichopo dodoma kwaajili ya kufanyia miamala ya simu plus miamala ya bank.
Kama kichwa cha habari kinavyo someka ningependa uzi huu uwe maalum kwa kupeana connection mbalimbali za biashara. Biashara bila connection unaweza fanya bila mafanikio, hivyo basi ni vizuri tupeane connection mbalimbali za biashara.
Uzi huu utumike kuwakutanisha watu mbalimbali katika biashara tofauti tofauti na mwisho wa siku kupeana connection za biashara kutokana na ombi la muhusika. Wapo watu mbalimbali katika dunia hii, wana mitaji mizuri tu lakini kutokana na kutokuwa na connection wametulia na mitaji yao. Hivyo basi uzi huu uwe msaada kwao.
Elezea unahitaji connection ipi katika biashara kisha subiri kupewa connection na wahusika katika biashara hiyo. Lengo ni kusaidiana na si vinginevyo. Tuweke roho mbaya pembeni kisha tuungane pamoja katika gurudumu la maendeleo.
Wadau karibuni katika uzi huu tupeane connection za biashara.
Unafaa sanaaa.Habari, endapo unahitaji kusajili kampuni, jina la biashara, trademarks, hivyo kuhitaji usaidizi katika documentation, TRA E-filing, drafting and online filing kwa gharama nafuu na haraka, usisite kuwasiliana nami.
Pia kwa wafanyabiasha tunafanya huduma ya kusaidia na kushughuliak na masuala yote ya kodi na yanayohusu TRA kama vile;
🔥Kufanya ritani zote za kodi
🔥 Kuitikia wito wa TRA kwa niaba yako
🔥Kufanya ama kusaidia kufanya maridhiano ya kodi (tax reconciliation)
🔥Kutoa ushauri wa jumla wa masuala ya kodi kwa mfanya biashara na kuwa mlezi wa masuala yote ya Compliance ya biashara yako.
+255755963775 calls/WhatsApp
Nilishawahi kupata wazo la kuzi recycle hizi chupa..!!!Kwa yeyote anayejua soko la chupa take away K vant, konyagi, henken, Windhoek,bavaria,badwiser,dompo na aina nyingine yoyote anisaidie connection kwani ninazo za kutosha tatizo soko,0759656557/0775358586
Unapatikana wapi?
Nipo Dar nauza kwa rejareja
Rahisi tu, mjasiliamali anafungua akaunti kama tu unavyojisajili facebook.Mjasiriamali anawezaje kuingia humu?
#YNWA
Unapatikana wapi?
#YNWA
Karibu sana mkuu, wakati ni sasa. Tutafurahi kukuhudumia.Unafaa sanaaa.
Nimefungua kampuni.
Natunza hii kwa matumizi yangu ya baadae.
#YNWA
Ulipata soko??Kwa yeyote anayejua soko la chupa take away K vant, konyagi, henken, Windhoek,bavaria,badwiser,dompo na aina nyingine yoyote anisaidie connection kwani ninazo za kutosha tatizo soko,0759656557/0775358586