Msigazi Mkulu
JF-Expert Member
- Dec 22, 2013
- 4,160
- 3,368
Unafanyia wapi biashara?Na kuuza pia,,, nipm tuyajenge
@YoungJigger
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unafanyia wapi biashara?Na kuuza pia,,, nipm tuyajenge
@YoungJigger
Mimi pia nakaribia kuvuna nikiikuta hiyo napush mzigo
Unapatikana wapi nduguMwenye connection wanakopatikana kuku wa kienyeji kwa ajili ya kufuga
Sent using Jamii Forums mobile app
Unapatikana wapi bossAnayetaka pumba na mashudu ya alizeti anichek nimuungsnishe
Sijui mimi tu ndo sijakuelewa au!!??Kabla sijaja huko
Mimi na mipaina mbao laini hususani nazitoa na nipo njombe Mkuu.
Ngumu nina gravelea ipo arusha sanawari.Tuyajenge hapa hapa wengine waone boss
Sent using Jamii Forums mobile app
Nahitaji connection ya mashule na maofisi niwaprintie t-shirt na vitambulisho vya plastics, nipo dar ila hadi mikoani tunaongea nakuja.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu unahitaji maharage?Uhitaji wako ni kiasi gani kwa muda gani na offer yako ikoje nikushushie mzigo??..Huko Maharage wanauzaje?
Poa ingawaje nimetoa tenda hio kwa mtu mwezi ulopita tu. Ila usijali nazionaga onaga. Tutachekiana zikitokea zingine.Mkuu km unapata issue ya maabara please nistue kwa NAMBA 0717550291
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu unahitaji maharage?Uhitaji wako ni kiasi gani kwa muda gani na offer yako ikoje nikushushie mzigo??..
Usisahau location ulipo mm nipo Katavi ila popote nakufikia.
Sent using Jamii Forums mobile app
mkuu kulingana na distance uliyopo i mean kucover transport costs ila ikiwa hapa hapa nakupa kwa 2100/kg ila kama kumove lazima iongezeke..Wewe una uza kiasi gani kwa kilogram?
mkuu kulingana na distance uliyopo i mean kucover transport costs ila ikiwa hapa hapa nakupa kwa 2100/kg ila kama kumove lazima iongezeke..
Kiasi cha mzigo ni demand yako ht ukitaka tani10.
Sent using Jamii Forums mobile app