Uzi maalumu wa kupeana connection mbalimbali za biashara

Uzi maalumu wa kupeana connection mbalimbali za biashara

Mimi ni mzalishaji wa kuku wa nyama (broiller) naweza kuzalisha kuku 100 kwa wiki....
Natafuta soko. Nipo Dar es Salaam.
Dalali au muhusika nicheki
0767521736


Pia kamakuna mtu analo group la wasap la masoko ya kukunaomba aniunge tafadhari

Sent using Jamii Forums mobile app
Nenda fb Kuna group linaitwa ufugaji kuku biashara changamoto na masoko huko utapata link ya whatsup group na telegram channel yao
 
Habari,mm natafuta mtu ambae anaweza kufungua mashine ya kusaga sembe na mm nikawa kama msimamizi(mfanyakazi )ninaweza kukoboa kusagana na kuweka ktk vifungashio(viloba vya sembe)nina fahamu madalali wengi ambao wanaweza kuleta mahindi

Lkn pia kuna eneo Pele temeke lipo NI jengo japo sio kubwa sana lkn linafaa kuanza linaitaji ukarabati mdogo ,

Mm pia NI fundi mashine ya kukoboa na kusaga naweza kutengeneza,
Lkn pia ninaweza kutengeneza chakula cha kuku wa kisasa kama finisher, statar nk ,(mashine yako hapo mm cna mashine )na kama unaitaji mashine njoo nikupeleke wanapotengeneza 0785332010 0719103409 karibuni wadau

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni kweli biashara ya mazao esp. Michele uzuri Tazara imepita hapo unaweza transport mzigo paka DSM that day nauli kwa kiroba cha mchele 100kg ilikuwa 8000 itakuwa HVO paka sa HV I guess
Fafanua mkuu
Kutoka ifakara mpaka dar kilo moja ya mchele husafiliahwa kwa sh 80 mala 100 inakuja 8000,kupakia mchele gunia sh 700,na kushusha being hiyo hiyo,ushuru kilo sh 30 kwa kilo 100 inakuja 3000 umagharamia usafili kutoka huko mlimba bei yake siifahamu hapo nazungumzia kwenye gari kwa hiyo gari inakuletea ww ulipo kama buguruni ,manzese ,tegeta ,tandika nk

Twende kwenye train ,wale wanitaji kiloba cha mchele uweke viwili maana wanahofia kupasuka ,kwa hiyo unaweka mifuko 2 ndio unaweka mchele kwa hiyo kama unagunia 10 itabidi ununue mifuko 20 kwa hiyo utakuwa umeongoza gharama nyingine, gharama alafu unatakiwa uusafilishe mzigo wako mpka tazara kwa hiyo unalipa pesa ya kupaki kutoka mashine usafili na pesa ya kushusha kule tazara umeongeza gharama ambapo gari inakuja kupakia moja kwa moja mashine na kuondoka

Ukishusha mzigo tazara unapimwa tena unalipa kabisa wakati gari unaweza kuja kulipia unaposhusha mzigo baaada ya hapo mzigo hupakuwa ktk train unalipia peaa ya kupakia na ukifika unalipa pesa ya kushusha tazara ya huku dar, unatakiwa ukodi usafili WA kwenda kuchukua mzigo tazara ili upeleke oficn kwako kwa hiyo kuna kulipia gari tena kuwalipa wanaopakia na kwenda kushusha hapo unapopeleka mzigo, alafu ukiwa ktk gari na mzigo wako hulipi nauli kwenye train unalipa nauli huwezi ukapanda bila nauli alafu ukasema nina mzigo wangu ragej silipi nauli hahahaaaaaaaa NI hivyo tu kuna usipoelewa?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari,mm natafuta mtu ambae anaweza kufungua mashine ya kusaga sembe na mm nikawa kama msimamizi(mfanyakazi )ninaweza kukoboa kusagana na kuweka ktk vifungashio(viloba vya sembe)nina fahamu madalali wengi ambao wanaweza kuleta mahindi

Lkn pia kuna eneo Pele temeke lipo NI jengo japo sio kubwa sana lkn linafaa kuanza linaitaji ukarabati mdogo ,

Mm pia NI fundi mashine ya kukoboa na kusaga naweza kutengeneza,
Lkn pia ninaweza kutengeneza chakula cha kuku wa kisasa kama finisher, statar nk ,(mashine yako hapo mm cna mashine )na kama unaitaji mashine njoo nikupeleke wanapotengeneza 0785332010 0719103409 karibuni wadau

Sent using Jamii Forums mobile app
Nakuombea mafanikio ✌✌katika utafutaji wako. Umejieleza vizuri sana.
 
Back
Top Bottom