Uzi maalumu wa kupeana connection mbalimbali za biashara

Uzi maalumu wa kupeana connection mbalimbali za biashara

Niko Mbagala Mbande najihusisha na ufugaji wa kuku wa nyama
Nawauza kwa bei ya 5700 kwa rejareja
5500 jumla
6000 unapata kuku alieandaliwa moja kwa moja wewe unampokea tu na kumpika utakavyo

Ila pia nauza kwa vipande vya kuku kama

vipapatio @500/=

Kidari (chicken brest) @1500/=
kikiwa na kipapatio ila kama
hakina ni 1000/=

Paja @1300/=
Firigisi kg 7000/=



Sent from my iPhone using JamiiForums

Siku nyingine weka mawasiliano


It is never too late to begin. Start now
 
Back
Top Bottom