Tajiri Kichwa
JF-Expert Member
- Apr 2, 2017
- 9,021
- 22,016
Niko Mbagala Mbande najihusisha na ufugaji wa kuku wa nyama
Nawauza kwa bei ya 5700 kwa rejareja
5500 jumla
6000 unapata kuku alieandaliwa moja kwa moja wewe unampokea tu na kumpika utakavyo
Ila pia nauza kwa vipande vya kuku kama
vipapatio @500/=
Kidari (chicken brest) @1500/=
kikiwa na kipapatio ila kama
hakina ni 1000/=
Paja @1300/=
Firigisi kg 7000/=
Sent from my iPhone using JamiiForums
Siku nyingine weka mawasiliano
It is never too late to begin. Start now