Uzi maalumu wa kupeana connection mbalimbali za biashara

Uzi maalumu wa kupeana connection mbalimbali za biashara

Mkuu uko serious?? Mbona kama mchezo wa kuigiza huu?...kwamba asafirishe kuku toka mlimba huko aliko aje!! Utapata faida gan? Mbona magari mengi tu huko yanapita masemi??...kuku ukodi truck??..
Ulikuja ukayaona hayo masemi? Afu hakuna anayefanya biashara isiyo na faida sijaanza Leo hii shughuli na lengo langu sio kubeba kuku pekeyake acha ujuaji
 
Jmn kama kuna mtu anahitaji kusafirisha dagaa kutoka mwanza kwenda mikoa ya kanda ya Kaskazini na Dar es salaam naomba anichek mzigo natuma kwa bei poa. Yan tunaongea na nakuuzia bei kama hapa mwanza tu.

Mimi ni bingwa wa kutuma mizigo unaupokea ndani ya saa 48 toka utumapo pesa ya mzigo
 
Nina truck yangu ton 3.5 hadi 4 mwenye mzigo wake anayetaka kusafilishiaaa au kama una connection niambiee...napigaa kambi popote...kama una connection ya mizigo toka vijijini kwenda mjini au injee ya mikoaa nijuzeee

Sent using Jamii Forums mobile app
Katika zurura zurura nilipita kijiji kimoja kinaitwa kalando kama sijakosea kijiji hiki kipo sumbawanga kama unaenda mpanda unaingia kushoto , kipo pembeni ya ziwa Tanganyika .

Huku kuna fursa lukuki ikiwemo mchele samaki na mbao , mizigo ni mingi sana ya kuja mjini ila magari ni yakusua sua . njia ni vumbi japo inapitika . mbali na usafiri huku kuna fursa saaaana kwa biashara tajwa hapo juu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nauza shamba Kiagei bwawani Morogoro lina ukubwa wa hekari tano (5) linafaa sana kwa kilimo. Hekari moja sh. 750,000/= kwa biashara zaidi nicheki PM.
 
Katika zurura zurura nilipita kijiji kimoja kinaitwa kalando kama sijakosea kijiji hiki kipo sumbawanga kama unaenda mpanda unaingia kushoto , kipo pembeni ya ziwa Tanganyika . Huku kuna fursa lukuki ikiwemo mchele samaki na mbao , mizigo ni mingi sana ya kuja mjini ila magari ni yakusua sua . njia ni vumbi japo inapitika . mbali na usafiri huku kuna fursa saaaana kwa biashara tajwa hapo juu

Sent using Jamii Forums mobile app
Asante mkuu ngoja nifuatiliee, Nina mwenyeji Kule

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sio ifakara ila ni mji mdogo katika wilaya ya kilombero huku kwanza mashamba ni Bei nafu unapata 200000 kwa hekali tena vijiji vyake vina umeme vile vile ardhi inakubali kila aina ya mazao mpunga gunia unapata kwa 50000 vilevile Kuna kilimo cha ufuta afu Kuna mazao ya mboga mboga nyanyachungu wanauza debe 5000 na Kuna wakulima wengi wa ndizi ndizi tunazonunuaga dar 250 mojahuku mkungu unapata kwa1500 Kijiji Cha mbingu afu Kwenye mavazi wanauziwa Bei kubwa lakini wananunua afu ukiwa na mashine ya kupukuchua mahindi unapiga sana pesa Kuna jamaa anayo anawakusanya sana
Ni kweli unayoyasema. Moja ya tatizo kifika mlimba ni barabara hasa kipindi cha masika huwaga ni utata ila treni inasaidia sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom