Wangari Maathai
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 34,962
- 70,576
Naomba nitumie namba yako pm Kuna dili la kusafirisha kuku mlimba kwenda dar
Mkuu uko serious?? Mbona kama mchezo wa kuigiza huu?...kwamba asafirishe kuku toka mlimba huko aliko aje!! Utapata faida gan? Mbona magari mengi tu huko yanapita masemi??...kuku ukodi truck??..