Wangari Maathai
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 34,962
- 70,576
Naomba nitumie namba yako pm Kuna dili la kusafirisha kuku mlimba kwenda dar
Ulikuja ukayaona hayo masemi? Afu hakuna anayefanya biashara isiyo na faida sijaanza Leo hii shughuli na lengo langu sio kubeba kuku pekeyake acha ujuajiMkuu uko serious?? Mbona kama mchezo wa kuigiza huu?...kwamba asafirishe kuku toka mlimba huko aliko aje!! Utapata faida gan? Mbona magari mengi tu huko yanapita masemi??...kuku ukodi truck??..
Haya naachaUlikuja ukayaona hayo masemi? Afu hakuna anayefanya biashara isiyo na faida sijaanza Leo hii shughuli na lengo langu sio kubeba kuku pekeyake acha ujuaji
Aisee this time usiniacheNikuambiaga twende "fijijni" hutak kuelewa😉😉😉
Ulivyo blazamen hivyo utaweza kuishi mavumbini kweli?😉Aisee this time usiniache
Thank youuWamekaangwa mkuu na mzigo unakufkia ndani ya saa 48 tu
Ahahahahah.Boss twende kazinUlivyo blazamen hivyo utaweza kuishi mavumbini kweli?😉
Upo kijiji gan bossHuku vijijin ni mitaji hatuna fursa zipo nyingi saaana acha kabisa
Katika zurura zurura nilipita kijiji kimoja kinaitwa kalando kama sijakosea kijiji hiki kipo sumbawanga kama unaenda mpanda unaingia kushoto , kipo pembeni ya ziwa Tanganyika .Nina truck yangu ton 3.5 hadi 4 mwenye mzigo wake anayetaka kusafilishiaaa au kama una connection niambiee...napigaa kambi popote...kama una connection ya mizigo toka vijijini kwenda mjini au injee ya mikoaa nijuzeee
Sent using Jamii Forums mobile app
Huku nauza kwa debe au guniaBei gani dagaa kwa kilogram moja kwa bei ya jumla.?
Mkuu mi ninachoelewa n kuwa debe lina sado ngapi. Make nauza kwa debe na sado sijawahi kupima kwa kili mkuuDebe moja unauza kiasi gani kwa bei ya jumla na debe moja lina jumla ya kilogram ngapi.???
Asante mkuu ngoja nifuatiliee, Nina mwenyeji KuleKatika zurura zurura nilipita kijiji kimoja kinaitwa kalando kama sijakosea kijiji hiki kipo sumbawanga kama unaenda mpanda unaingia kushoto , kipo pembeni ya ziwa Tanganyika . Huku kuna fursa lukuki ikiwemo mchele samaki na mbao , mizigo ni mingi sana ya kuja mjini ila magari ni yakusua sua . njia ni vumbi japo inapitika . mbali na usafiri huku kuna fursa saaaana kwa biashara tajwa hapo juu
Sent using Jamii Forums mobile app
Kilimo gani.?
Wakuu mwenye koneksheni yeyote ya biashara kwa mtaji wa M1 pesa taslim ya kitanzania ..anisaidie niko teyari kwa mkoa wowote
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kweli unayoyasema. Moja ya tatizo kifika mlimba ni barabara hasa kipindi cha masika huwaga ni utata ila treni inasaidia sanaSio ifakara ila ni mji mdogo katika wilaya ya kilombero huku kwanza mashamba ni Bei nafu unapata 200000 kwa hekali tena vijiji vyake vina umeme vile vile ardhi inakubali kila aina ya mazao mpunga gunia unapata kwa 50000 vilevile Kuna kilimo cha ufuta afu Kuna mazao ya mboga mboga nyanyachungu wanauza debe 5000 na Kuna wakulima wengi wa ndizi ndizi tunazonunuaga dar 250 mojahuku mkungu unapata kwa1500 Kijiji Cha mbingu afu Kwenye mavazi wanauziwa Bei kubwa lakini wananunua afu ukiwa na mashine ya kupukuchua mahindi unapiga sana pesa Kuna jamaa anayo anawakusanya sana
Kama unayo naoma unicheki pm manWakuu... Kuna mtu ana taarifa Yoyote kuhusu maharagwe ya njano tokA singida nackia bei ya Debe ni elfu 20? Mwenye taarifa sahihi Naomba anijuzee
Sent using Jamii Forums mobile app