shokoshugi
JF-Expert Member
- Oct 13, 2015
- 269
- 390
Yapo ila ukiyakosa asubuhi ni mpaka next day
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yapo ila ukiyakosa asubuhi ni mpaka next day
Ingia upwork.com zipo za kumwaga tu tena kwa malipo ya dolar tunatafuta connection ya uandishi wa makala za mitandaoni ama za hard copy, mada yoyote, au kuandikia website za masuala mbalimbali, 0718829826. kwa kizungu naita Content Writing.
Umeongea kwa uchungu kweli,pole !Nachukia sana haya matangazo yanayokosa maelezo ya kutosha lkn kibaya zaidi hakuna mawasiliano utadhan Tanzania nzima ni yeye tu ndo anauza mbao. Biashara ni ushindani tujitahidi kuweka kila maelezo yatakayo mfanya mteja mtarajiwa apige simu kuuliza vitu vichache sana au kumaliza biashara yenyewe.
Sasa leo nilikua na kazi ya dharura ya mbao ujazo wa semi, nikaikumbuka hii post na fasta nikaingia humu ndani kucheki hakuna mawasiliano SO NIMEKOSA KAZI NA WEWE UMEKOSA KAZI imeenda kwa wengine. Mnatufanya wateja tuwe na kazi ya ziada eti na mawasiliano nayo tuyatafute!!! Binafsi tangazo likikosa chochote kati ya maelezo kuhusiana na bidhaa yenyewe, picha(INATEGEMEA), bei elekezi, na mawasiliano uwanalipitia mbali KABISA sina sababu ya kupoteza muda kuvitafuta vitu au taarifa muhimu ambazo lazima ziwepo na kimsingi hizo ndo siraha katika biashara ya KUUZIANA NA KUNUNULIANA (By Mzee wetu ALI HASSAN MWINYI).
Kama wewe ni mfanya biashara, unatangaza bidhaa zako lengo unataka tukujue ili tununue kwahiyo lazima mawasiliano yawepo, kwanini usiweke/ufiche?
Kutokuweka mawasiliano katika biashara yako ni dalili za kutojihamini, au ukiamini unachokiuza na inawezekana umesahahu bahati mbaya!!!! Teh, bahati mbaya!!
Nakushauri rekebisha tangazo lako kwa kuongeza hizo taarifa muhimu-MAWASILIANO
Mkuu search kwenye mtandao kampuni ya Yara Milla wana mbolea kila aina, kampuni kubwa sana unaweza kupata uwakala kwao.Mbolea za aina zote hususani za kukuzia mazao ya mahindi,parachichi na viazi mviringo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nawewe unazingua hakuna kuku wa kienyeji mkubwa kwa bei ya 5000/- hapa Dar, iwe reja reja au jumla.Huyo ni dalali kama mimi hapa,hauna haja ya kibishana naye.
Madalali tunanunua kuku mikoani ukitaka. tunakuuzia 15,000/= mpaka 20,000/= hizo ndio kazi zetu boss.
I smell something fishy!
Bi dada tunasubiria hiyo linkSawa ngoja nikuchukulie link naweka hapa
Weka namba
Naomba link inbox please
hiyo hapo juu Ninatafita ingine group ya piliBi dada tunasubiria hiyo link
Shukrani sana!!
VzrAGIZA CHINA hiyo hapo juu Ninatafita ingine group ya pili
Huu uzi ni mzuri sana kwa sisi vijana tunaohangaika kila siku kutafuta fursa za maisha,sibanduki hapa.
Ubaruku mchele mpya 1250Mchele kilo sh ngapi ninaitaji conection ya mazao mahindi maharage na mchele. Mwenye kujua ni pm
Sent using Jamii Forums mobile app