Attainer Jr
JF-Expert Member
- Mar 22, 2019
- 433
- 790
M.k
Sawa tutaomba mrejesho
mama yangu ni mkulima wa viaz mbegu anazo sema yuko Iringa unaweza nipm kwa mbegu, au tumia apo juu emailNatafuta connection ya wapi ntapata mbegu nzuri ya viazi mviringo mkoa wa mbeya, na gharama yake bila kusahau kadirio la kiasi cha mbegu za kuenea eneo la ekari 1. Wasalaam
Njoo mlimba Kuna Kijiji kinaitwa idui Kuna kuku Hadi wa elfu tano
Mm pia nilikuwa nahitaji kuku mbegu kubwa, nikambiwa morogoro kisaki na mlimba .Njoo mlimba Kuna Kijiji kinaitwa idui Kuna kuku Hadi wa elfu tano
Mabati ya alaf migongo midogo chqrcol grey MNA uzaje bando na yana kaa mangapi na ofisi zenu zipo wapi bossKwa anayehitaji MBAO (ndefu na fupi, za dawa na kawaida, ngumu na laini), MILUNDA(Mirefu & mifupi) MABATI, NONDO, CEMENT, KOKOTO,GYPSUM BOARD, MARINE BOARD n.k kwa maeneo ya DSM na Pwani tuwasiliane. Tunahuduma ya kuleta mzigo hadi mlangoni Karibuni sana.Tupo Buguruni Dsm na Mlandizi Pwani For serious bzns call&whastsup +255752401379View attachment 1450705View attachment 1450706View attachment 1450707View attachment 1450708View attachment 1450709View attachment 1450710View attachment 1450712View attachment 1450713View attachment 1450717
Sent using Jamii Forums mobile app
Ungeweka na bei za mbao kabisa ndugu kama hutojari na ofisi yako ipo wapiNatafuta connection ya mnunuzi wa mbao (hardwood) tunaweza fanya kama wabia
Inbox pleasèNjoo nikuuzie kiwanja kikubwa maeneo ya vikindu.Nauri ni sh400 toka Mbagala rangi 3.
5/5
Mbegu zake ni Hybrid?mama yangu ni mkulima wa viaz mbegu anazo sema yuko Iringa unaweza nipm kwa mbegu, au tumia apo juu email
Sent using Jamii Forums mobile app
Mashudu ya alizet au ya pamba, damu na mabak ya dagaaMkuu ww unataka malighafi aina zipi maana kuna aina nyingi mno.