Uzi maalumu wa kupeana connection mbalimbali za biashara

Uzi maalumu wa kupeana connection mbalimbali za biashara

Hutumika kama tiba lishe ya magonjwa mengi kama kisukari, presha, amoeba, typhod sugu, na magonjwa mengineyo mengi pia inaongeza kinga ya mwili, ina balance uzito wa mwili... Ninauza 1kg kwa tsh 7,000 tu kwa jumla, pia rejareja nauza 6,000 tu. Mwenye uhitaji nicheki PM, zinapatikana Mwanza.
Nichek inbox mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Maharage wanauzaje huko kwa debe??
Maharage yako aina mbalimbali so na bei zinatofautiana kulingana
-aina ya maharage

-ubora wa maharage husika kwa maana ya super na kawaida
... Ila kwa maharage yenye beii kabisa ni tsh38000 debe yaani hiyo ndo first quality na kipenzi cha wateja
 
Maharage yako aina mbalimbali so na bei zinatofautiana kulingana
-aina ya maharage
-ubora wa maharage husika kwa maana ya super na kawaida
... Ila kwa maharage yenye beii kabisa ni tsh38000 debe yaani hiyo ndo first quality na kipenzi cha wateja
Hiyo bei hailipi kiongozi
 
Back
Top Bottom