rommy shabby
JF-Expert Member
- Jun 26, 2017
- 1,123
- 1,302
Mikoani mnatuma?kwa mahitaji ya vioo vya TV led kuanzia nchi 32 na kuendelea pamoja na kufungiwa nicheki PM
tunafanya CCTV installation
electronic fance
PM ipo wazi
Wew upo wapi? Na unauza hivyo vitu auHellow za asubuhi wadau ! ,Aisee naomba msaada wa kupata namba za mfanyabiashara anayekuja kuchukua Samaki wabichi au vitunguu toka mikoani na kupeleka Dar es Salaam .
kwa mahitaji ya vioo vya TV led kuanzia nchi 32 na kuendelea pamoja na kufungiwa nicheki PM
tunafanya CCTV installation
electronic fance
PM ipo wazi
Soko lako la sasa hivi gunia mmoja unaliuza kwa shingapi? Na unauzia wapi.Wakuu habari zenu, samahani naomba kujua wapi ntapata soko zuri la malimao
Soko lako la sasa hivi gunia mmoja unaliuza kwa shingapi? Na unauzia wapi.
Ili nifanye mlanganisho wa soko nalolojia na lako hilo mkuu.
Bei ya ELFU 40 imekufa mda mrefu.( huyu dalali inawezekana anakupigaIlala kilo cha kilo 50 ni elfu arobaini hadi 50
Bei ya ELFU 40 imekufa mda mrefu.( huyu dalali inawezekana anakupiga
Bei ya sasa hivi gunia ni 50k mpaka 60k. ( soko ni ilo ilo la ilala). Nami ndo soko nalolijua hilo pekeee mkuu
Japo nasikia arusha mjini napo Limao ni adimu sana sokoni
Location Dar.Natafuta kinyozi nimpe kazi ya salon! PM for more discussion.
Waone bayport wanahitaji mawakalaNahitaji kuanzisha Uwakala mikopo ya Bank(Bank loan Agent) nahitaji kupata connection
Asante sana mkuu ngoja nipambane ni fursa sana huku kusini kutokana na hali ya hewa ya sahizi....Hizo sina kiongozi
Habari mkuu!Hi. Nilisema nauza soya. Kilo sh. 1,300 kwa kilo. Imebaki tani mbili yaani kilo 2000. Soya ipo Iringa mjini
@bushymumyHabari.. nahitaji kuku wa nyama nipo moshi mjini!!! Wafugaji tafadhali mjitokeze