ALEX_ANDER
JF-Expert Member
- Jul 8, 2014
- 570
- 816
Nguo za watoto unauzaje?
😂😂😂😂😂😂😂😂Mpelekee hiyo hela MWAJUMA
@Habibu B. AngaNJOO TUFANYE KAZI
Nahitaji mtu naejua kuandika makala nzuri kwajili ya video za mtandaoni,kama unaweza naomba uje PM.
VIGEZO
Uwezo mkubwa wa kuandika makala kwa kutafuta information sahihi na za ndani sana kuhusu matukio yaliyowahi kutokea duniani mfano vita ya kwanza ya dunia n.k au vitu vinavyoshangaza duniani mfano masanamu makubwa,majengo ya kushangaza na vitu mbalimbali vyenye historia ya kushangaza ikiwemo historia za watu waliofanya matukio konki.
NB:wazee wa "dizaini kama au ama nene" hawahitajiki.
Hapo sawa mzee ,,, mtu akipenda bidhaa anakuja darectSawa
Magauni:View attachment 1500748
Bei: 45,000
View attachment 1500749
Rangi😛ink, Yellow, na Green
Bei:40,000
View attachment 1500752
View attachment 1500753
17,500
View attachment 1500754
30,000
Simple:
View attachment 1500755
View attachment 1500756
View attachment 1500757
8,000
Mikoba:View attachment 1500758
View attachment 1500760
Perfumes:
View attachment 1500762
View attachment 1500763
View attachment 1500765
Mils 50
Za kike na kiume
Aina mbalimbali: Al Oud, Al Wisal,Paris Hilton,Sabaia, Invictus, Lexzus, Roman, Anawel Shock, 212 Men,CK1, Lacoste White, Jasmine, Cobra,Escada, Givenchy....... na nyingine
Bei jumla 12,500 (50 Mils)
Rejareja: 20,000 (50 Mils)
+255 686 942 315
MKUU MI BAHITAJI PUMBA NA MASHUDU YA ALIZETIAnayetaka pumba na mashudu ya alizeti anichek nimuungsnishe
Kaka nahitaji mahindi ya kutengezea chakula cha kuku ,ukipata ujumbe wangu naomba unishtuee!naomba connection ya mfanyabiashara wa mahindi anayepelekaga nje ya nchi. Mimi ni mfanyabiashara mdogo na nitakua namkusanyia mahindi kutoka vijijini ndani ndani huko na kumuuzia kwa bei nafuu....
Nipo singida na mahindi yapo mengi sana kwa bei nafuu
Njoo PMNaomba connection ya wauzaji wa kuku toka singida na dodoma
Mahindi ya kutengenezea chakula cha kuku yapoje.Kaka nahitaji mahindi ya kutengezea chakula cha kuku ,ukipata ujumbe wangu naomba unishtuee!
Uko wapi? Yanapatijana SongeaMKUU MI BAHITAJI PUMBA NA MASHUDU YA ALIZETI
Asante kamanda, nilikua najua ni vile viatu vya moka, Travolta na kadhalika.
Ni mkoa gani huo mkuu? wilaya gani pia hebu tupe maelekezo zaidi.Njoo mlimba Kuna Kijiji kinaitwa idui Kuna kuku Hadi wa elfu tano
Bei gani nata mojeAnae hitaji wallet OG za ngozi aje huku zipo kwa bei poa kabisa jumla na reja rejaView attachment 1491599View attachment 1491600
Morogoro, unafika hadi Ifakara ndo kuna njia ya kwenda Mlimba. Ni mbaliNi mkoa gani huo mkuu? wilaya gani pia hebu tupe maelekezo zaidi.
Nahitaji mayai ya kisasa ya jumla nataka trey 200
Sent from my SM-A205F using JamiiForums mobile app
Haya kaka yanakua hayana kiwango sana kama tunayotumia binaadam kwa ajili ya chakula .Mahindi ya kutengenezea chakula cha kuku yapoje.
Mimi niko Zanzibar na ntakua napitishia bagamoyo mzigo kakaUko wapi? Yanapatijana Songea
Karibu pm tuone tunafanyajemm niko Zanzibar na ntakua napitishia bagamoyo mzigo kaka