nilikuwa nasaka masoko mkuuMorogoro-kilombero
uko mkoa gani wwHizi kazi nazenyewe mpaka connection. ?
Nisaidieni kazi toyote
Unataka vya njombe tu mkuu?Muuzaji wa tangawizi na vitunguu swaumu toka njombe au madaba na bei ataje
Wapo mkuu. Unataka wangapi?Mwenye connection wanakopatikana kuku wa kienyeji kwa ajili ya kufuga
Sent using Jamii Forums mobile app
mkoa ganiWapo mkuu. Unataka wangapi?
nitumie namba zako pm
Dah,umenikumbusha mchele wa magugu.Hivi ni mbele ya babati?Kama kuna mtu anakaa magugu namuomba pm tupeane connection
Nyuma kidogo ya babatiDah,umenikumbusha mchele wa magugu.Hivi ni mbele ya babati?
Ajaribu bahati yake, JF ni mtandao mkubwa.
Sir you better be carefulnitumie namba zako pm
Baada ya Don Nalimison kukosa Kitambulisho kipya Cha Taifa(NIDA) amepata Kitambulisho Cha MKAZI kwa jina Jipya.Ajaribu bahati yake, JF ni mtandao mkubwa.
Damn! Open the link menIna maana gani hii kwangu?
huu uzi umefungwa.
nitumie namba yako mkuuAna chuki tu huyo. Hana lolite
Dogo ana dharau sana alafu ana dhiki, huyu ni wakuacha ateseke sanaa hamna baba ake humu.huu uzi umefungwa.
any way kuna nn kinachousiana na huyu mwenzetu mtafta kazi?