Uzi maalumu wa kupeana connection mbalimbali za biashara

Hahhahaa ukiona Bei huielewi jua sio league yako Bora uachane nayo kiroho safi na mapema...😀😀
Ahahaaa league ndogo Sana hzo....sema muuzaji anazingua vtu kama hvyo una weka wazi iwe fahari ya macho wengne tunavutiwa kwa kuona na specifications ya kitu.
Na kunawengne wanavutiwa kwa Bei tu
 
Natafuta anayeuza nazi kwa bei ya shamban niwe najumua mzigo kwake.
mkuu u hali gani, binafri sina nazi ila ka upo dar es salaam unaweza fika soko la sterio na ukapata japo kwa bei nafu kiasi chake japo haitofanana moja kwa moja na ya shamba
 
mkuu u hali gani, binafri sina nazi ila ka upo dar es salaam unaweza fika soko la sterio na ukapata japo kwa bei nafu kiasi chake japo haitofanana moja kwa moja na ya shamba
Stereo, wanauzaje nazi mkuu
 
Nina eneo la kuuzia viatu ila sina mtaji unanisaidiaje niwe wakala nikiuza tunagawana faida
 
Ulipaata msaada wa kuhusu mabalo na wengine pia wenye shida hizo wanaweza niuliza ni vizuri ukunifata Dm nikipata nafasi nitakusaidia
Mkuu mabalo ya mashati grad 1 yanapatikana kwa bei gani
 
Mkuu nitakutafuta.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…