sassy girl
Senior Member
- Sep 19, 2020
- 112
- 173
Instagram evakileomzungu wa kichagaMwenye connection wanakopatikana kuku wa kienyeji kwa ajili ya kufuga
Sent using Jamii Forums mobile app
Nina-import viatu vya kike, nguo za watoto, mikoba na perfumes kutoka UTURUKI.
1. Viatu vya kumwaga (vya kupiga debe).
2. Viatu vya dukani.
3. Magauni ya watoto.
4. Mikoba na Mabegi
5. Chupi, Chupi na Brah na Night dress.
6. Perfume na Perfume Oils
Ninapatikana Tandika, Mtaa Chihota.
Nauza kwa jumla na rejareja.
Karibuni wakuu wana JF tufanye biashara
Kwema kuna zile zenye lock kwa juu zipo? UnauzajeJipatie pipa za plastick zenye ujazo wa lita 200 (kama zinavyoonekana pichani. Bei ya jumla kwa pipa ni 30000/= kuanzia pipa 20. Rejareja 35000/=. Tupo kibaha msikitini (kituo kimoja kutoka kwa mathias/tanita)View attachment 1577919View attachment 1577920
Zipoje hizo mkuu? Hizi zilizopo zina matundu ya kupachika lock ila lock hatuuzi bossKwema kuna zile zenye lock kwa juu zipo? Unauzaje
Vitabu vya nini?Jamani natafuta mahala wanapouza vitabu kwa bei ya Jumlaa. [emoji120]
Mimi nipo Mbinga wanalima kahawa. Inauzwa kwa utaratibu. Wewe unataka kiasi gani, bei nafuu bei ganiMwenye connection au ideas kuhusu upatikanaji wa kahawa kwa bei poa .....hapa tanzania tafadhal
Mkuu...naomba contacts zako....na nishakuja pmNatafuta connection ya soko la samaki wabichi wa baharini( Seafood) napatikana kunduchi beach dsm.
Buda Electric Water Pump
- Ni rahisi kutumia
-Ni rechergeable (inachajiwa)
-Inatumia Usb Cable (smartphone charger) kucharge
-Inatunza Charge ndani Mwezi Mmoja na zaidi
- Inatumika Nyumbani, Ofisini na Outdoor Events,
[emoji625]Tupo Kariakoo Livingstone,Pemba street
Price
Tsh 35000/=
WhatsApp & Calls
0714122948
Delivery ipo Ukihitaji
Mikoani Tunatuma pia
KARIBUNI SANA..View attachment 1557220View attachment 1557225
Duuh hapunguzi kidogo nije kupachukuaKuna mtu anapauza kwake 4m
Mkuu vipi umeipata hii connection...?? Nahitaji piaNaomba connection ya chimbo la bei ya jumla kwa t_shirt zile zinazouzwa kariakoo elfu 7 reja reja