Uzi maalumu wa kupeana connection mbalimbali za biashara

Uzi maalumu wa kupeana connection mbalimbali za biashara

Mwenye connection wanakopatikana kuku wa kienyeji kwa ajili ya kufuga

Sent using Jamii Forums mobile app
Instagram evakileomzungu wa kichaga
Screenshot_20200924-114214.jpg
 
Nina-import viatu vya kike, nguo za watoto, mikoba na perfumes kutoka UTURUKI.

1. Viatu vya kumwaga (vya kupiga debe).
2. Viatu vya dukani.
3. Magauni ya watoto.
4. Mikoba na Mabegi
5. Chupi, Chupi na Brah na Night dress.
6. Perfume na Perfume Oils

Ninapatikana Tandika, Mtaa Chihota.
Nauza kwa jumla na rejareja.

Karibuni wakuu wana JF tufanye biashara

Adjustments.jpg

Adjustments.jpg

Adjustments.jpg

Adjustments.jpg

Adjustments.jpg

Adjustments.jpg
 
Je unahitaji kulima mahindi na hauna muda wa kusimamia? Au unataka upate mavuno mengi zaidi? Njoo ofisini kwetu.

Ofisi ya YAD yenye wataalamu wabobezi wa kilimo sasa inakuletea mpango wa kusimamia shughuli zote za shambani. Mkulima utatukabidhi shughuli zako pale shambani kwako sisi tutafanya kila kitu kwa utaalamu zaidi na kukukabidhi mazao yako yakiwa yamekomaa. Gharama zetu ni nafuu sana na tunakuhakikishia kwa ekari moja kuvuna mahindi zaidi ya gunia 30. Usihangaike sasa, sisi tupo kwa ajili yako, Kwa Wale ambao hawana mashamba tutakuwezesha kupata mashamba ya kukodi kwa elfu 40 tu na mashamba ya kununua kwa elfu 60 tu hata ukihitaji ekari 100 za kununua utazipata kwa bei hiyo hiyo.

Kwa maelezo zaidi fika ofisini kwetu.
Jengo la NSSF SONGEA
Ghorofa ya 3 chumba no. 317
Simu. 0621133117
IMG_20200924_153144_909.jpg
 
Laptop aina ya HP inauzwa Pamoja na Speaker mbili na mouse kwa Laki tatu tu. Inakaa na chaji masaa manne.
Specifications ni kama ifuatavyo
RAM 4GB
HDD 320GB
Processor Core i5
Nicheck PM

Adjustments.JPG
 
Mwenye connection au ideas kuhusu upatikanaji wa kahawa kwa bei poa hapa Tanzania tafadhali
 
Wakuu anaehitaji simu iphone 5 kwa 150000/=
iphone 6= 250000 \= used ila zipo in very good condition

Anicheki tufanye biashara
 
Buda Electric Water Pump
- Ni rahisi kutumia
-Ni rechergeable (inachajiwa)
-Inatumia Usb Cable (smartphone charger) kucharge
-Inatunza Charge ndani Mwezi Mmoja na zaidi
- Inatumika Nyumbani, Ofisini na Outdoor Events,
[emoji625]Tupo Kariakoo Livingstone,Pemba street
Price
Tsh 35000/=
WhatsApp & Calls
0714122948
Delivery ipo Ukihitaji
Mikoani Tunatuma pia
KARIBUNI SANA..View attachment 1557220View attachment 1557225

Hivi hizi zinatoa maji ya badiri au ni kupandisha maji tu apo ??
 
Back
Top Bottom