Uzi maalumu wa kupeana connection mbalimbali za biashara

Boss umesema LTD company ndiyo company yenye mtaji? Je, kuna company sizizo na mtaji?
Mtaji kwa maana kwenye makabrasha.
Jina la biashara na partnership haina makblasha inayoelezea mtaji wa kampuni.

Tofauti na LTD ni lazima mtaji uandikwe kwenye memorandum.
 
Habari kwa wakazi Moshi mjini na viunga vyake.
Mimi ni mjasiriamali nachukua bidhaa na kuziingiza mtaani kwa njia ya dor to dor kama una bidhaa zako unahitaji ziuzwe haraka wasiliana nami pm au namba 0783868511
 
Nenda EFTA wao wanakopesha mitambo,viwanda,magari ya biashara nk. Hawahitaji hati kwani mtambo,gari au mashine utakayonunua ndiyo hati yenyewe.
Down payment 30% ya kifaa unachotaka kuchukua
 
Down payment 30% ya kifaa unachotaka kuchukua
Yeah ni kweli lakini pia ni bora kuliko kuchukua mkopo wa pesa bank ili kununua mtambo wa biashara. Usisahau pia unapewa grace period ya siku 60 toka unekabidhiwa chombo chako.
 
Yoyote anaehitaji viatu
vya shule jumla na reja reja
Army boots kwa ajili ya kampuni za ulinzi
Official shoes
Viatu vyote ni ngozi na ubora wa hali ya juu
tuwasiliane kwa 0744 002351
 
Mwenye kuhitaji Gas nabadilisha kwa bei hizo napatikana kijitonyama polisi mabatini...
0688899089
 
Naomba connection ya kusambaza unga wangu wa lishe

Nasambaza kwenye maduka, supermarkets hata kwa watu binafsi.. Nafanya delivery na mkoani natuma

Ni Lishe yenye mchanganyiko wa mahindi lishe, ngano, ufuta, Rozela, Mbegu za maboga na soya.
N. B nafaka zisizikobolewa ndio zilizotumika.

Lishe hii ni kuanzia mtoto wa miezi sita, wagonjwa, wajawazito, wanaonyonyesha, wazee na watu wote kiujumla kwa rika zote.
Bei ni 4000 1kg kwa rejareja
Bei ni 3500 1kg kwa jumla kuanzia 5 pieces

Pia mwenye uhitaji wa soya ya unga kwa ajili ya chai,maziwa n.k

Unga wa mbegu za maboga pia unapatikana kwa bei nafuu kabisa.

KARIBUNI NYOTE
 
Msimu wa kilimo umewadia

Je unahitaji kulima mahindi na hauna muda wa kusimamia? Au unataka upate mavuno mengi zaidi? Njoo ofisini kwetu.

Ofisi ya YAD yenye wataalamu wabobezi wa kilimo sasa inakuletea mpango wa kusimamia shughuli zote za shambani. Mkulima utatukabidhi shughuli zako pale shambani kwako sisi tutafanya kila kitu kwa utaalamu zaidi na kukukabidhi mazao yako yakiwa yamekomaa. Gharama zetu ni nafuu sana na tunakuhakikishia kwa ekari moja kuvuna mahindi zaidi ya gunia 30. Usihangaike sasa, sisi tupo kwa ajili yako, Kwa Wale ambao hawana mashamba tutakuwezesha kupata mashamba ya kukodi kwa elfu 40 tu na mashamba ya kununua kwa elfu 60 tu hata ukihitaji ekari 100 za kununua utazipata kwa bei hiyo hiyo.

Kwa maelezo zaidi fika ofisini kwetu.
Jengo la NSSF SONGEA
Ghorofa ya 3 chumba no. 317
Simu. 0621133117
 
Yoyote anaehitaji viatu
vya shule jumla na reja reja
Army boots kwa ajili ya kampuni za ulinzi
Official shoes
Viatu vyote ni ngozi na ubora wa hali ya juu
tuwasiliane kwa 0744 002351
Unapatikana wapi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…