Nahitaji connection ya bei ya ballor la nguo za kike au la watoto bei ya jumla.
Nilikucheck inbox tangu janaNaitaji connection na Tu anaye uza vifaa vya shule Kwa bei za jumla
Bado unawatafuta mkuu!?Natafuta inspiration Speakers ,
Pls,
Wasiliana nami kwa namba 0686 520 133
Mkuu kilo wachukua bei gani rose kokoYanahitajika maharage kwa ajili ya shule.
Kama una kombati ama rose coco tuwasililiane. Zinahitajika gunia 100+
Damian nifahamishe Mlimba iko mkoa gani hapa nchini.Mlimba mjini laki tano mpaka milioni nakuendelea inategemeana na ukubwa wa kiwanja vijiji vingi nilivyotembelea wanauza kwa laki mbilinahamsini mpaka tatu kiwanja Cha 30 kwa 40
Natafuta wateja wa hiriki kijani kutoka India Kwa wale wanauoza viungo (spices) naomba mnicheki +91 999087397
MorogoroDamian nifahamishe mlimba iko mkoa gani hapa nchini.
1kg 70000 nauza mzigo Kwa sasa bado hadi niagizwe ulikua wahitaji kiasi gani mawasiliano yangu hayo hapo mpendwa karibuKilo bei gani mkuu na mzigo upo wapi!
Unapatikana wapi mkuuMwenye kuhitaji Gas nabadilisha kwa bei izo napatikana kijitonyama polisi mabatini...View attachment 1600092
0688899089
Unauzaje? Unayo kiasi gani,? Upo mkoa gani?wakuu mwenye kujua soko la mahindi aniunganishe tafadhali
INAUZWA - Brands quality cadets, shirts and t-shirts
MAKING YOU MORE COMFORTABLE & CONFIDENT[/SIZE][/B] MUONEKANO WA KIJANJA NA KITANASHATI ZAIDI. TUNA BIDHAA ORIGINAL ZA NCHI MBALI MBALI KAMA VILE: ITALIA [emoji634][emoji634][emoji634] : eg TOMS FROD CADETS TROUSERS BRITISH[emoji636][emoji636][emoji636]: eg BURBERY SHIRTS...www.jamiiforums.com
NGUO ZA UTURUKI, ORIGINALView attachment 1621421View attachment 1621422View attachment 1621423View attachment 1621424