Cvez
JF-Expert Member
- May 19, 2018
- 4,405
- 13,411
Habari ndugu!
Nauza kuku wa Kienyeji kwa bei ya jumla na reja reja. Bei ya jumla ipo flat kwa kuku wote ambapo ni 16000/= minimum order ni kuku hamsini.
Kwa reja reja bei ni 18000-22000 inategemea na ukubwa wa kuku. Hii ni kwa Dar es Salaam.
Kwa Arusha nauza kuku wa nyama tu.
Nauza kuku wa Kienyeji kwa bei ya jumla na reja reja. Bei ya jumla ipo flat kwa kuku wote ambapo ni 16000/= minimum order ni kuku hamsini.
Kwa reja reja bei ni 18000-22000 inategemea na ukubwa wa kuku. Hii ni kwa Dar es Salaam.
Kwa Arusha nauza kuku wa nyama tu.