Uzi maalumu wa kupeana connection mbalimbali za biashara

Kwa mahitaji ya mashamba(Kisarawe) na viwanja vya bei nafuu kabisa kwa Dar (Chanika) karibuni.
 
Natafuta connection ya biashara za nguo za mitumba za watoto
 
Nawapa connection ya kuuza wazo la biashara kupitia APP inatwa "BANGO". Pakua na post wazo lako la biashara upige bingo chaap.
 
Natafuta tenda ya ku supply mchele kwenye mashule na taasisi zingine mkoa wa Pwani na Dar es Salaam. Nina mpunga wa kutosha kukoboa na ku supply bila kufeli.

10% kwa mleta dili bei ikiwa nzuri hawezi kosa!
Hukopeshi mkuu mchele
 
Ninapenda nipewe connection ya biashara ya mazao ya chakula baada ya muda muafaka nije niyauze.
Natanguliza shukrani.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hongera sana kwa wazo zuri. Biashara ya nafaka au mazao ya vyakula visivyo haribika haraka ni biashara nzuri na ni mara chache kupata hasara kama utakuwa makini kufatilia masoko mbalimbali nje na ndani ya nchi.

Mimi nina uzoefu na biashara hiyo kuanzia inakopatikana hadi soko.

Mimi nipo dar es slaam tanzania.0652529926
 
Natafuta mtu anaeuza maziwa mtindi ya kienyeji kwa bei nzuri angalau shillingi 500-600 kwa lita moja. awe mkoa wowote ule ambao una mabasi ya kuja Dar.
contact 0687886600
Bei iko chini sana ukiweza kufika 2000/ltr tuwasiliane nipo Moshi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…