Uzi maalumu wa kupeana connection mbalimbali za biashara

Naomba connection ya sehemu wanayouza turubai kwa Bei ya jumla.

Turubai za kuanzia mita 4 na kuendelea.
 
Wapi nitapata Laptop Used (ZILIZOTUMIKA NJE) Kwa bei ya Jumla kuanzia Pc 5+ naomba kuelekezwa wanapouzia na mawasiliano pia,

Muuzaji asiwe wa reja reja tafadhali .

Asante
 
Ninauza Kuku aina ya soso being no shilingi 15000 nipo chanika DSM. 0693389482
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…