Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nipe mawasiliano yako chap tufanye jamboNafanya sacoss nukitoa laki inazaa Elfu 30 kwa mwezi
Namba zako locationNafanya sacoss nukitoa laki inazaa Elfu 30 kwa mwezi
Mkuu chimbo la vifaa vya electronics ni Uganda huku kuna vitu vya umeme sio poa yani daah afu og tafuta. Muda uende Uganda utafurahi mwenyewWakuu mwenye kujua chimbo la vifaa vya electronics anijuze mana nataka kufungua chimbo la vitu kama sub ufa,flat screen,na vizaga kama vyote vya electonics,naomba mwenye kujua zaid machimbo na naweza anza na mtaji kiasi gan?natanguliza shukuran zenu nyote
Mkuu ulifanikiwa kupata connection soko la nafaka.Nahitaji connection ya soko la nafaka maharage dengu na choroko.
Kama uko dar, kariakoo patakufaaNaomba uzi huu unisaidie kupata connection ya wauzaji wa vifaa vya umeme kwa bei ya jumla.
Aiseee shukran sn kaka,ahsante snMkuu chimbo la vifaa vya electronics ni Uganda huku kuna vitu vya umeme sio poa yani daah afu og tafuta. Muda uende Uganda utafurahi mwenyew
Sent from my SM-N950F using JamiiForums mobile app
Kariakoo kubwa mkuu, kona ipi?Kama uko dar, kariakoo patakufaa
Kipata, kongo na uhuru
0744883353nipe mawasiliano yako chap tufanye jambo
0744883353Namba zako location
Ingia insta Kuna mtu anajiita hakikaicecream mashineNaombeni mnisaidie kupata connection wanapouza mashine za kutengeneza lamba lamba za stick kwa Dar es salaam.
Wana sifa gani hawa (soso)...?Ninauza Kuku aina ya soso being no ahilingi 15000 nipo chanika DSM. 0693389482