Uzi maalumu wa kupeana connection mbalimbali za biashara

Uzi maalumu wa kupeana connection mbalimbali za biashara

Wakuu mwenye kujua chimbo la vifaa vya electronics anijuze mana nataka kufungua chimbo la vitu kama sub ufa,flat screen,na vizaga kama vyote vya electonics,naomba mwenye kujua zaid machimbo na naweza anza na mtaji kiasi gan?natanguliza shukuran zenu nyote
Mkuu chimbo la vifaa vya electronics ni Uganda huku kuna vitu vya umeme sio poa yani daah afu og tafuta. Muda uende Uganda utafurahi mwenyew

Sent from my SM-N950F using JamiiForums mobile app
 
Nahitaji connection ya kununua vyombo kitchen utensils kwa jumla...

Thanks
 
Habarini Wadau,

Natafuta mashine na supplies za kutengeneza chakula cha kuku ;
1. ya umeme ( three phase), isiwe na complications nying, iwe strong.
2.ya kawaia katika ku operate.
3. Soko litakaloniwezesha kupata raw materials kwa bei fair.( mahindi, pumba,n.k)

Karibuni kwa maoni
 
Back
Top Bottom