Number ni 26
JF-Expert Member
- Apr 3, 2019
- 1,573
- 3,088
Habarini Wadau,
Natafuta mashine na supplies za kutengeneza chakula cha kuku ;
1. ya umeme ( three phase), isiwe na complications nying, iwe strong.
2.ya kawaia katika ku operate.
3. Soko litakaloniwezesha kupata raw materials kwa bei fair.( mahindi, pumba,n.k)
Karibuni kwa maoni
Njoo pm mkuu!Nafanya sacoss nukitoa laki inazaa Elfu 30 kwa mwezi
Twende tukanunue kamsamba mbozi huko mkoani songwe mpunga mzuri na soko lake lipo palepale la uhakika Sana! Ukiwa tayari nichekiNapenda sana kufanya Biashara ya kununua mpunga kilosa Morogoro, lakini sijui nianzie wapi niishie wapi? Mwenye kujua tafadhali.......
Nenda karume sokoni pale boma asubh saa kumi utapata mzigo wa kutoshaNaomba connection ya jinsi ya kupata viatu vya mtumba
Ukiwa tayari nicheki nikuunganishe na mtu yupo kariakoo duka la jumla atakupa viomboo kwa Bei Chee mpaka utashangaaNahitaji connection ya kununua vyombo kitchen utensils kwa jumla...
Thanks
Korosho za kukausha au mbichi?Nauza korosho grade 1.bei 15000/= kwa kilo.Dar
😂Ulitaka zipi kiongozi madini au
0687886600Weka mawasiliano kk, binafsi nahitaji huo mzigo
Za kukaushwa
UnauzajeNaomba mwenye connection ya soko la tangawizi jaman mzgo upo wa kutosha kbsa toka kigoma
Bei unauzaje? Na vp nikikupa mteja utaweza kumletea hapa Dsm??Naomba mwenye connection ya soko la tangawizi jaman mzgo upo wa kutosha kbsa toka kigoma