donpier91
JF-Expert Member
- Sep 15, 2016
- 440
- 368
Utanunua kwa sh ngap nikupe connectionNahitaji Asali ambayo haijawa processed kwa Bei ya Jumla.. kama litre 20 hv
Location: Mbeya
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Utanunua kwa sh ngap nikupe connectionNahitaji Asali ambayo haijawa processed kwa Bei ya Jumla.. kama litre 20 hv
Location: Mbeya
La chuma au la mbaoNahitaji banda la biashara mwenye nalo
0687886600
Connection mkuu tafadhali.Kama unataka viatu vya mtumba na jinsi njoo Uganda huku utapata mtumba grade 1
Mlimba ni mkoa gani?Njoo Mlimba kuna kijiji kinaitwa idui kuna kuku Hadi wa elfu tano.
Weka noUkiwa tayari nicheki nikuunganishe na mtu yupo kariakoo duka la jumla atakupa viomboo kwa Bei Chee mpaka utashangaa
Chukua box la raster utaona mawasiliano then wapigie mkuuNataka kujua nyewle aina za rasta kwa jumla zinapatikana wapi? Najua zinauzwa kariakoo ila na wao huwa wananunulia wapi?
Bado hizi bei zipo?kama bado hujapata mkuu karibu mufindi bei ni kama ifuatavyo 2×2=500 2×4=2800 2×6=3800 1×8=5000 1×10=7000 hizi ndizo zenye uhitaji sana huko dar,dom,mwanza,maswa,bariadi nk
Karibu sana tunaziuza ndugu na unapewa waranti ya mwaka mmoja tunapatikana hapa kariakoo mtaa wa masasi na msimbazi karibu sana maelezo zaidi sms/whatsapp 0774150519Naombeni mnisaidie kupata connection wanapouza mashine za kutengeneza lamba lamba za stick kwa Dar es salaam.
Connection ipi unataka mkuu fungukaConnection mkuu tafadhali.
Ninaitengeneza mkuu karibu sana 0763542515
Ninaitengeneza mkuu karibu sana 0763542515Wakuu mashine ya kupukuchua mahindi bei gani kwa anayefahamu tafadhali
Sent using Jamii Forums mobile app
Tunazitengeneza hapahapa mashine imara na ngumu 0763542515
Nazitengeneza mkuu karibu 0774150519Naomba kufahamu hizi mashine zinapatikana wapi na thamani yake ikoje??
Sent using Jamii Forums mobile app
Tunazitengeneza mkuu 0763542515Zinapatikana SIDO, bei yake sifahamu.
Nami nazitengeneza ndugu karibu sana niletee wadau wanaotaka mashine tutaongea commission yako 0763542515Habari,mm natafuta mtu ambae anaweza kufungua mashine ya kusaga sembe na mm nikawa kama msimamizi(mfanyakazi )ninaweza kukoboa kusagana na kuweka ktk vifungashio(viloba vya sembe)nina fahamu madalali wengi ambao wanaweza kuleta mahindi
Lkn pia kuna eneo Pele temeke lipo NI jengo japo sio kubwa sana lkn linafaa kuanza linaitaji ukarabati mdogo ,
Mm pia NI fundi mashine ya kukoboa na kusaga naweza kutengeneza,
Lkn pia ninaweza kutengeneza chakula cha kuku wa kisasa kama finisher, statar nk ,(mashine yako hapo mm cna mashine )na kama unaitaji mashine njoo nikupeleke wanapotengeneza 0785332010 0719103409 karibuni wadau
Sent using Jamii Forums mobile app