zipalapwata
JF-Expert Member
- Oct 19, 2016
- 290
- 156
Dagaa aina ganMwenye connection ya dagaa naomba tuwasiliane, nahitaji kuwa uza
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dagaa aina ganMwenye connection ya dagaa naomba tuwasiliane, nahitaji kuwa uza
Unazingua boss jaruba si tuta lenye zao kwa hiyo unanua kila tutaSi kununua kwa mtu au watu bali ni kununua moja kwa moja majarubani/mbugani kwasababu sisi tupo sehemu yenye majaruba ya mipunga kwahyo kwa 1milioni ni hela ndefu kiasi kwahyo faida ni maradufu tofauti na udhaniavyo nyie simnasota na mjini huko hamjui hata majaruba ni nini?? Mnajua tu kula wali....
Ulipata boss chimbo niambie namimiKauzi kazuri.
Nahitaji connection wanapofungua mikoba ya mitumba hapa dar..ile mikoba ya brand kubwa na classic( lv Gucci d&g Hermes ysl nk)
Sent using Jamii Forums mobile app
Wapi huko bossWanaotaka kufanya biashara ya maharage mkoani njombe tuwasiliane, ila uwe na mtaji wa kutosha, namba zangu hizi hapa, 0753880814, 0747565816, 0676645304.
Hizo ni namba zangu zote, vile vile wateja wakubwa kama wapemba tuoneni sisi huku yakonakotoka maharage moja kwa moja, msiishie Makambako tu.
Ni hayo,
tu kwa kirefu zaidi tuwasiliane.
Naomba mwenye kujua koneksheni ya cherehani za kushonea nguo, zile za kawaida na za umeme
Sent using Jamii Forums mobile app
Fb group ufugaji kuku, changamoto na masoko utapata kila kitu kuhusu kukuMwenye uweredi wa kutengeneza feed ration (chakula cha kuku wa nyama /bloiler) kwa njia ya manual..yaani vifaa vya nyumbani please msaada..usisahau kunitag..
Sent by nCOVID-19
Hii onana na kishoka yupo trido msasani kwa dar es salaam au mtafute inst au fb jina kisokayeyote mwenye kufahamu kuhusu biashara ya uzalishaji mkaa endelevu anijuze, gharama za uzalishaji, soko pamoja na jinsi ya kupata mashine zake.
Ndiyo jumla pia nauza,Nipo Dar.Mikoani pia Natuma.Kwa jumla jumla? Upo mkoa ganii!
Upo mkoa gan?Wakuu mwenye koneksheni yeyote ya biashara kwa mtaji wa M1 pesa taslim ya kitanzania ..anisaidie niko teyari kwa mkoa wowote
Sent using Jamii Forums mobile app