Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 40,905
- 86,203
Weka nambaKuna groups za kuagiza za china whatsapp.
Bei za viwandani
mama wawili
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Weka nambaKuna groups za kuagiza za china whatsapp.
Bei za viwandani
mama wawili
Upo wapi kiongoziWakuu naomba msaada wa connection au kujua bei za vitu vifuatavyo. (Nimetumwa kuuliza)
1. Mashine ya kupukuchua mahindi inayotumia mafuta.
2. Mashine ya kupiga mpunga inayotumia mafuta.
3. Mashine ya kupiga mtama,uwele,ulezi na alizeti inayotumia mafuta.
4. Bei ya ng'ombe wa Boran saizi zote (dume kubwa, jike na ndama)
5. Bei ya kukodi Fuso Tandam au scania ya tani26 toka Songea au Rukwa kuja Dar.
6. Bei ya mashine ya kukoboa mpunga ili uwe mchele za aina zote pia za kugrade mchele.
Naomba link inbox pleaseKuna groups za kuagiza za china whatsapp.
Bei za viwandani
mama wawili
Sawa ngoja nikuchukulie link naweka hapaNaomba link inbox please
Mkuu kuku bei gani na je soko lake kwa dar halisumbui!Naomba nitumie namba yako pm Kuna dili la kusafirisha kuku mlimba kwenda dar
5000 _10000 kuhusu soko kwa dar sijui
Nachukia sana haya matangazo yanayokosa maelezo ya kutosha lkn kibaya zaidi hakuna mawasiliano utadhan Tanzania nzima ni yeye tu ndo anauza mbao. Biashara ni ushindani tujitahidi kuweka kila maelezo yatakayo mfanya mteja mtarajiwa apige simu kuuliza vitu vichache sana au kumaliza biashara yenyewe.kama bado hujapata mkuu karibu mufindi bei ni kama ifuatavyo 2×2=500 2×4=2800 2×6=3800 1×8=5000 1×10=7000 hizi ndizo zenye uhitaji sana huko dar,dom,mwanza,maswa,bariadi nk
Hutumika kama tiba lishe ya magonjwa mengi kama kisukari, presha, amoeba, typhod sugu, na magonjwa mengineyo mengi pia inaongeza kinga ya mwili, ina balance uzito wa mwili... Ninauza 1kg kwa tsh 7,000 tu kwa jumla, pia rejareja nauza 6,000 tu. Mwenye uhitaji nicheki PM, zinapatikana Mwanza.Chia seed inatumika vp?
Nashukuru kwa kunisahihisha boss aisee kule nitarudi tu , nilipiga dili moja japo ilikua la magendo nusura nizame ziwani lakini lilinilipa sana
Kuna magari pale shinyanga mjini ya kwenda huko?Katika zurura zurura nilipita kijiji kimoja kinaitwa kalando kama sijakosea kijiji hiki kipo sumbawanga kama unaenda mpanda unaingia kushoto , kipo pembeni ya ziwa Tanganyika .
Huku kuna fursa lukuki ikiwemo mchele samaki na mbao , mizigo ni mingi sana ya kuja mjini ila magari ni yakusua sua . njia ni vumbi japo inapitika . mbali na usafiri huku kuna fursa saaaana kwa biashara tajwa hapo juu
Sent using Jamii Forums mobile app
Nami niingize mkuuuKuna groups za kuagiza za china whatsapp.
Bei za viwandani
mama wawili
Mkuu samahani naweza kupata mawasiliano ya huyo mzee mwenye stoo na mashine ya mchele nimcheki tufanye biashara.Inategemea na kipindi bei inakuwa ndogo kipindi cha mavuno na kupanda paka kipind ni adimu mwez wa 5/6 mavuno yanachanganya bei huwa 750/800 unapanda miez ya 10 Ila haizid 1200 hiyo ilikuwa 2015 kuna mzee wangu namfahamu anastoo na mashine hapo hyo bei ni kwa kg mchele swaf
Bei ya jumla ama rejareja.?
Chief niliwakilisha kama swali kwa wajuvi wa mambo kwani nami nina kiu kujua nini ambacho kinahitajika kwa wakati huu niichangamkie fursa , kama ushawahi kutembelea mipakani kuna wazee wa bodaboda wanapita njia za panya biashara inafanyika kama kawaida , wewe inakupasa tu kujua nn cha kupeleka na wakati ganNaam bila shaka, funguka zaidi kuhusu hapo mpakani ili watu tuchangamkie fursa.