Uzi maalumu wa kupeana connection mbalimbali za biashara

Uzi maalumu wa kupeana connection mbalimbali za biashara

Biashara ya nini mkuu???[emoji15][emoji15]
Mboo za ng'ombe mkuu. Huku dodoma nimeona mabuchani wanazikusanya sana. Naskia zinatumika kama raw materials za kutengeneza nyuzi za kushonea (operation). Advantage ya hizi nyuzi ni kwamba sio zile za kwenda kutoa kama zile nyingine, hizi zinaishia ndani ya mwili
 
Nauza air fresheners na polish kwaajili ya magari nipo Dodoma..View attachment 2044759View attachment 2044760View attachment 2044763View attachment 2044765View attachment 2044766
IMG-20211213-WA0022.jpg
 
HABARINI
NATAFUTA MADINI YA MANGANESE KUANZIA TANI 5 NA KUENDELEA
MWENYE NAZO TUWASILIANE..PM
 
Mayai ya kienyeji yanapatikana tray @14,500. Ni mayai kutoka Moshi.
Nafanya free delivery maeneo yote ya Dar.
Kwa mawasiliano; 0621047282.
Karibuni
 
Kwa kutumia technology mpya kabisa sasa unauwezo wa kuona tukio la WIZI lililofanyika hapo OFISINI mwako, ama NYUMBANI kwako, kwa kupitia
simu ya kiganjan mwako

Kwa huduma na maelezo zaidi usisite kutupigia Kwenye namba 0686 520 133

Au tembele link hii ya whatsup

 

Kama kichwa cha habari kinavyo someka ningependa uzi huu uwe maalum kwa kupeana connection mbalimbali za biashara. Biashara bila connection unaweza fanya bila mafanikio, hivyo basi ni vizuri tupeane connection mbalimbali za biashara.

Uzi huu utumike kuwakutanisha watu mbalimbali katika biashara tofauti tofauti na mwisho wa siku kupeana connection za biashara kutokana na ombi la muhusika. Wapo watu mbalimbali katika dunia hii, wana mitaji mizuri tu lakini kutokana na kutokuwa na connection wametulia na mitaji yao. Hivyo basi uzi huu uwe msaada kwao.

Elezea unahitaji connection ipi katika biashara kisha subiri kupewa connection na wahusika katika biashara hiyo. Lengo ni kusaidiana na si vinginevyo. Tuweke roho mbaya pembeni kisha tuungane pamoja katika gurudumu la maendeleo.

Wadau karibuni katika uzi huu tupeane connection za biashara.
Nataka wa kuniunga na wateja wa maharage meupe,njano,rozi koko nauza kwa kutoa mikoani na kuleta Dar,oda za shule za bweni pia mwenye kuhitaji na pia biashara ya dagaa wa kukaangwa ninao nafikia Sinza maeneo ya vatican simu yangu ni 0624 011463

Sent from my TECNO B1g using JamiiForums mobile app
 

Kama kichwa cha habari kinavyo someka ningependa uzi huu uwe maalum kwa kupeana connection mbalimbali za biashara. Biashara bila connection unaweza fanya bila mafanikio, hivyo basi ni vizuri tupeane connection mbalimbali za biashara.

Uzi huu utumike kuwakutanisha watu mbalimbali katika biashara tofauti tofauti na mwisho wa siku kupeana connection za biashara kutokana na ombi la muhusika. Wapo watu mbalimbali katika dunia hii, wana mitaji mizuri tu lakini kutokana na kutokuwa na connection wametulia na mitaji yao. Hivyo basi uzi huu uwe msaada kwao.

Elezea unahitaji connection ipi katika biashara kisha subiri kupewa connection na wahusika katika biashara hiyo. Lengo ni kusaidiana na si vinginevyo. Tuweke roho mbaya pembeni kisha tuungane pamoja katika gurudumu la maendeleo.

Wadau karibuni katika uzi huu tupeane connection za biashara.
Sio roho mbaya wazo la biashara lenyewe ni biashara huwezi pewa bure
 
Back
Top Bottom