Suchack
JF-Expert Member
- May 11, 2020
- 2,290
- 4,623
punguza bei mdogo wanguWakuu mchele bado upo, karibuni nipo Dar
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
punguza bei mdogo wanguWakuu mchele bado upo, karibuni nipo Dar
Nimepunguza mkuu, karibu uniungishe ndugu yakopunguza bei mdogo wangu
Mboo za ng'ombe mkuu. Huku dodoma nimeona mabuchani wanazikusanya sana. Naskia zinatumika kama raw materials za kutengeneza nyuzi za kushonea (operation). Advantage ya hizi nyuzi ni kwamba sio zile za kwenda kutoa kama zile nyingine, hizi zinaishia ndani ya mwiliBiashara ya nini mkuu???[emoji15][emoji15]
HABARINI
NATAFUTA MADINI YA MANGANESE KUANZIA TANI 5 NA KUENDELEA
MWENYE NAZO TUWASILIANE..PM
Nataka wa kuniunga na wateja wa maharage meupe,njano,rozi koko nauza kwa kutoa mikoani na kuleta Dar,oda za shule za bweni pia mwenye kuhitaji na pia biashara ya dagaa wa kukaangwa ninao nafikia Sinza maeneo ya vatican simu yangu ni 0624 011463
Kama kichwa cha habari kinavyo someka ningependa uzi huu uwe maalum kwa kupeana connection mbalimbali za biashara. Biashara bila connection unaweza fanya bila mafanikio, hivyo basi ni vizuri tupeane connection mbalimbali za biashara.
Uzi huu utumike kuwakutanisha watu mbalimbali katika biashara tofauti tofauti na mwisho wa siku kupeana connection za biashara kutokana na ombi la muhusika. Wapo watu mbalimbali katika dunia hii, wana mitaji mizuri tu lakini kutokana na kutokuwa na connection wametulia na mitaji yao. Hivyo basi uzi huu uwe msaada kwao.
Elezea unahitaji connection ipi katika biashara kisha subiri kupewa connection na wahusika katika biashara hiyo. Lengo ni kusaidiana na si vinginevyo. Tuweke roho mbaya pembeni kisha tuungane pamoja katika gurudumu la maendeleo.
Wadau karibuni katika uzi huu tupeane connection za biashara.
Sio roho mbaya wazo la biashara lenyewe ni biashara huwezi pewa bure
Kama kichwa cha habari kinavyo someka ningependa uzi huu uwe maalum kwa kupeana connection mbalimbali za biashara. Biashara bila connection unaweza fanya bila mafanikio, hivyo basi ni vizuri tupeane connection mbalimbali za biashara.
Uzi huu utumike kuwakutanisha watu mbalimbali katika biashara tofauti tofauti na mwisho wa siku kupeana connection za biashara kutokana na ombi la muhusika. Wapo watu mbalimbali katika dunia hii, wana mitaji mizuri tu lakini kutokana na kutokuwa na connection wametulia na mitaji yao. Hivyo basi uzi huu uwe msaada kwao.
Elezea unahitaji connection ipi katika biashara kisha subiri kupewa connection na wahusika katika biashara hiyo. Lengo ni kusaidiana na si vinginevyo. Tuweke roho mbaya pembeni kisha tuungane pamoja katika gurudumu la maendeleo.
Wadau karibuni katika uzi huu tupeane connection za biashara.
[emoji4][emoji4][emoji4] hatariNinatoa huduma ya massage kwa akina dada/mama. Ni mobile office unaniita popote utakapo. Either full or half Tsh 30,000 for half an hour and Tsh 50,000 one hour. I am a male.
Dar.
Manganese four oxide mkuu?HABARINI
NATAFUTA MADINI YA MANGANESE KUANZIA TANI 5 NA KUENDELEA
MWENYE NAZO TUWASILIANE..PM