Hornet
JF-Expert Member
- Apr 29, 2013
- 26,486
- 51,156
Mousuf bei gani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ungeweka pichs halisiIncubator ya kutotolesha vifaranga yenye ubora na guarantii.View attachment 2073206
Incubator ya mayai 36. Full automatiki na inageuza mayai yenyewe. Inatumia umeme wa AC 220v na DC 12V. Tayari imesetiwa joto la kutotolesha zaidi ya aina 5 za mayai ya ndege. Bei yake ni sh 200,000 tu.Ungeweka pichs halisi
Safi sanaIncubator ya mayai 36. Full automatiki na inageuza mayai yenyewe. Inatumia umeme wa AC 220v na DC 12V. Tayari imesetiwa joto la kutotolesha zaidi ya aina 5 za mayai ya ndege. Bei yake ni sh 200,000 tu. View attachment 2076529View attachment 2076531
Kienyeji au broilers?Wakuu Hbari,
Nahitaji kuku 50 wa miezi mnne au mitano, waliopewa chanjo zote, Nanunua kwa 10,000 Nipo Kimara Temboni
Kienyeji/sasso au kroillerKienyeji au broilers?
u mkombozi san kwa weng but kunajambo ningependa kukuongezea ka hutojali, but nadhani linatijaNinatoa huduma ya massage kwa akina dada/mama. Ni mobile office unaniita popote utakapo. Either full or half Tsh 30,000 for half an hour and Tsh 50,000 one hour. I am a male.
Dar.
Broiler wa miezi 4?Kienyeji au broilers?
Mkuu sisi wasukuma sio washamba niwakulimaSawa ila idui wengi ni wasukuma washamba tu
Hhm kwa bei hiyo sidhani.. kuku wa kuanzia miezi 4 .. ila jaribu kuendelea kupata connectionKienyeji/sasso au kroiller
Nliuliza kwa nia njema tu mkuu .. maana kwa ofa yake si rahisi.Broiler wa miezi 4?
Anyway mimi nahitaji broiler 150 kila week kama unao, njoo tuyajenge
Nliuliza kwa nia njema tu mkuu .. maana kwa ofa yake si rahisi.