anha shukran sanaKariakoo soko lilovunjwa mitaa iyo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
anha shukran sanaKariakoo soko lilovunjwa mitaa iyo
Naweza nikapata nafasi ya kazi kwenu [emoji1431]KARIBUNI BRYTESKYLINKS. OFFICE ZETU ZINAPATIKANA JENGO LA ''MBEZI PARK HOUSE'' -TANGI BOVU -- MBEZI BEACH -- DAR ES SALAAM!
TUNATOA HUDUMA ZETU KWA UFANISI NA BEI NAFUU ....
KARIBUNI SANA.
View attachment 2176563
Upo mkuu! Nahitaji simu yoyote nzuri yenye 64GB. Lakini isiwe kampuni la Tecno na InfinixMimi Nina connection maduka ya simu.
😂Yes..au unajenga ila unabana mpaka becon, na jirani nae akifanya hivyo mnatengeneza buguruni ya badae, uswazi.
umesoma ulichoandika mkuu?Naitaji anayetaka kufanya biashara yaukopeshaj vibar nautaratibu upo nina kampun kabisa nafany iyo biashara rakin wateja wananizidia
Samahani mkuu nimesafiri sipo dar Kwa Sasa.Upo mkuu! Nahitaji simu yoyote nzuri yenye 64GB. Lakini isiwe kampuni la Tecno na Infinix
Sawa haina shidaSamahani mkuu nimesafiri sipo dar Kwa Sasa.
Andika vizuri basi tukueleweNaitaji anayetaka kufanya biashara yaukopeshaj vibar nautaratibu upo nina kampun kabisa nafany iyo biashara rakin wateja wananizidia
Vipi unatangawizi kavuAnaehitaji, tangawizi, mpunga na nyanya chungu kutoka morogoro, wilaya ya kilosa,hasa dumila na mvumi, msowero, ani PM tuyajenge
Cover, unamaanisha zile stika?Naweza kupata connection hapo kariakoo ni mtaa gani wanauza zile cover za movie ama kama yupo humu anaweza nicheki tukayajenga
Nimepata mkuu,AsanteCover, unamaanisha zile stika?
Unahitaji nzima au ilio sagwa?Vipi unatangawizi kavu
Mchango wako kwenye hiyo biashara utakuwa nini?Habari natafuta partner wa kufanya nae biashara ya kuandaa event mbalimbali au muwekezaji tufanye biashara malipo 50/50 kwa kila event
Nb: uhaminifu muhimu
Upo mkuu! Nahitaji simu yoyote nzuri yenye 64GB. Lakini isiwe kampuni la Tecno na Infinix