Lily Tony
JF-Expert Member
- Feb 6, 2019
- 3,198
- 4,191
Ungeweka sample za picha pamoja na bei ingependeza. Nina uhitajiWanaotaka mikoba ya wanawake jumla na rejareja PM ,napatikana Dar es salaam
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ungeweka sample za picha pamoja na bei ingependeza. Nina uhitajiWanaotaka mikoba ya wanawake jumla na rejareja PM ,napatikana Dar es salaam
Nairobi, Sokoni KIKOMBAAWapi naweza pata mzingo wa chupi za wanadada kwa bei nafuu
Kikombaa mbona mbali kote huko pale odion pembeni tuu wapo wanauza vifuniko vya asali mida ya jioniNairobi, Sokoni KIKOMBAA
Njoo Mlimba kuna kijiji kinaitwa idui kuna kuku Hadi wa elfu tano.
Mkuu hawa kuku ndo wale wanaokua wakubwa sana?Anaehitaji kuku wa kienyeji kutoka Singida wapo, wanapatikana kwa wingi.
Tuwasiliane
Ushauri: ukitaka uuze bidhaa yako hapa tunaomba uwe full details.... mfano , unasema unataka bidhaa flani huweki mawasiliano then , huweki bei , hutaji Location yako just unasema tuwasiliane are you serious? ... tubadilike wanandugu
NinahitJi pia.Weka be na sample ya pichaMkuu unaishi wapi
Me nna deal na hizi issue k/koo
Inapatikana, na nyingine nyingi, matoleo ya sasa piaUnauza iphone?
Poa poasimu
Inapatikana, na nyingine nyingi, matoleo ya sasa pia
Amechagua hiyo mbona tena unampangia mteja mkuu wangu?!Kigari kidogo sana mkuu bora utafute pesa ununue ndinga achana na vi baby car [emoji594]
Next time ukiwa unauza gari usiwe unatumia tairi zenye hizo rims huwa zinaifanya gari ionekane kama mbovu.IST
BEI 8.5M TU....
FULL.AC
FULL DOC
LOC; GONGOLAMBOTO
Call 0657 999 555
Unaficha nini huko PM au anataka kutapeli watu?! Kila kitu weka hapa unaficha nn.Ndio maana ikawekwa PM
Huawei P30 Pro ya 512Gb Rom na 6gb ram kiasi gani?!simu
Inapatikana, na nyingine nyingi, matoleo ya sasa pia
Anotaka kuniagiza mzigo nipo zenji hpa bei za zenji zinajulikana
Tv,baskeli, inshort chochote kile mimi nitakutafutia na uaninifu ni 100%
Zipo lita zaidi ya 150 kwa lita ishirini unafanyiwa 140kNaomba mwenye connection ya asali mbichi inakopatikana, bei n.k atujuze hapa
Tabora ipo ya kuzidi