Uzi maalumu wa kupeana connection mbalimbali za biashara

Uzi maalumu wa kupeana connection mbalimbali za biashara

Naomba connection ya baloo za mtumba, lebo inayotoa nguo nzuri za watoto, baby light rummage, namba moja ya Canada au UK. Ninapochukuaga wanazingua sana sometimes. Kwa Dar pekee.
IMG-20230213-WA0001.jpg
 
Nahitaji kufanya biashara ya Viatu vya kike km open shoes,sandles na simpo mwenye uzoefu naomba muongozo
 
Source #1:

Source #2:
PIKIPIKI HII INAUZWA BEI NZURI SANA

Wakuu ni matumaini yangu wote humu mko poa, kijana wenu baada ya salam nmekuja kwenu kuwapaa fursa ya pikipiki ninaiuza ni tvs150 ya blue ni gia 4 sio 5 ni zile za mwanzo mwanzo ni imara sana na bado iko na hali nzuri kama inavoonekana hapo kweny picha inapiga stata jino moja tu imewaka ni namba Mc 679 CBB ni mali yangu mwenyewe haina tatizo bali mimi ndo nina shida ya hera maana kimfaaacho mtu chake niliinunua kwa mtu nae alikuwa na shida nmetumia kwa mda wa kama mwaka mmoja baada ya kuinunua

Bei yake ni laki 9 na nusu ila ukiwa serious maongezi yapo, alieniuzia alikuwa anatumia kuendea tu kazini na kurudi ila baada mimi kuinunua niliifanya bodaboda, Docoment zake zote zipo kwa maana ya Kadi ya pikipiki mimi sio mara ya kwanza kufanya biashara hapa mtandaoni hasa hapa jf ninaishi dar kwangu mitaa ya Kinyerezi Kifuru unaweza kuja hata ukapaona kwangu napokaa na familia yangu pia nishauza vitu kibao tu na wala sina longolongo wala siuzagi vitu vyenye matatizo ni vyangu mwenyewe

nishawahi uza hapahapa jf na vyote nilipata wateja, kwaiyo niwaondoe shaka, Unaweza usihitji wewe lakini ukawa ndugu jamaa nna maafiki hata jirani yako pia. Asanteni na karibuni sana wahi usichelewe Kwa mawasiliano nichek call, sms na WhatsApp 0756695846 na 0712776823.

View attachment 2453623View attachment 2453625
Bado ipooo
 
Nahitaji connection ya sehemu wanapotengeneza mifuko hii ya magufuli iliyoruhusiwa nahitaji kununua kutoka huko.
 

Kama kichwa cha habari kinavyo someka ningependa uzi huu uwe maalum kwa kupeana connection mbalimbali za biashara. Biashara bila connection unaweza fanya bila mafanikio, hivyo basi ni vizuri tupeane connection mbalimbali za biashara.

Uzi huu utumike kuwakutanisha watu mbalimbali katika biashara tofauti tofauti na mwisho wa siku kupeana connection za biashara kutokana na ombi la muhusika. Wapo watu mbalimbali katika dunia hii, wana mitaji mizuri tu lakini kutokana na kutokuwa na connection wametulia na mitaji yao. Hivyo basi uzi huu uwe msaada kwao.

Elezea unahitaji connection ipi katika biashara kisha subiri kupewa connection na wahusika katika biashara hiyo. Lengo ni kusaidiana na si vinginevyo. Tuweke roho mbaya pembeni kisha tuungane pamoja katika gurudumu la maendeleo.

Wadau karibuni katika uzi huu tupeane connection za biashara.
Nipo na mashine ya popcorn dar mwnyw chimbo au connection ya mall au Mahal wanapocheza watoto Nije niiweke anichek jaman popcorn nzur natengeneza
 
Kuku fresh kabisa, nyama ya mbuzi, na Samaki (sato) wanapatikana;

Kuku: Tsh. 8000
Mbuzi: Tsh. 12,000/1KG
Samaki (sato): Tsh. 12,000/1KG

Pia ukihitaji filigisi, vichwa vya kuku, au miguu nicheki chap!

Call/Whatsapp: 0692987122
Karibuni sana, napatikana Kimara Temboni, DSM.

View attachment Nyama Banner.png
 
Kwa walioko wilaya ya Chemba mkoa wa Dodoma....natafuta mwenyeji huko nikapaangalie Kisha nifungue kabiaashara (sijawahi fika)
 
Habari mkuu?
Ikikupendeza naomba unifungulie PM ninashida na connection ya biashara ya karanga ya Tabora, nataka kujuwa na bei na naweza kupata kwa uwingi kwa mara moja?
hiyo biashara ya karanga nisaidie na mimi namba yangu ni 0715296923
 
Back
Top Bottom