Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Manzese mkuu huku big brothersNdiyo unapatikana sehemu gani au wapi umefikia?
Manzese kumechanganya sana bila shaka utaula au jarib kuwekeza NIT mabibo pale kwa wingi wa wanafunzi utakuwa umetisha sanaManzese mkuu huku big brothers
Nahitaji connection ya mtu alie ndungu
Ndungu same kilimanjaroAlie ndungu ndio nini mkuu?
Habari boss...Agent enterprises Tunakupa unachotaka kwa muda unaohitaji
Huduma zetu :-
Kutafuta soko la bidhaa/huduma zako
Kukutafutia wapangaji ,nyumba ,frem
Ushauri wa ndoa na uhusiano
Uandishi wa riwaya, makala na mashairi
Tupo kwa ajili yako
Usikubali mzigo uoze
Tunapatikana Moshi mjini
Whatsapp 0744883353
0718569091
kuku wap nyam au kisasaNinahitaji kuanza ufugaji wa kisasa wa kuku na ng'ombe wa maziwa, mweny ABCD kwenye sekta hii anipe muongozo
Mkuu njoo Godown kwetu, mzigo uko wa kutosha. Njoo na wenzio tunapatikana Kipawa opposite na Airport.Naomba connection ya baloo za mtumba, lebo inayotoa nguo nzuri za watoto, baby light rummage, namba moja ya Canada au UK. Ninapochukuaga wanazingua sana sometimes. Kwa Dar pekee.View attachment 2524101
Njoo Mlimba kuna kijiji kinaitwa idui kuna kuku Hadi wa elfu tano.
Natufuta Investor (Partner) ambaye atawekeza Milioni 5 kwenye Kampuni (Inatoa Engineering services). Maswali, terms & conditions za malipo ni makubaliano
Namba: 0747 642 122
kama zipi nini kaka?Kama zipi?